Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asikudanganye mtu. Opera 6 ni mbaya. Haina nguvu ya kufungua page kubwa. Ila opera 4.2 ndio kiboko.
\asikudanganye mtu. Opera 6 ni mbaya. Haina nguvu ya kufungua page kubwa. Ila opera 4.2 ndio kiboko.
hapana mkuu. Pia inatepemea na memory browser pia. 4.3 ina memory kubwa sana. Jaribu kuwauliza watu wanaotumia 6.1 na 4.3 (mf mimi) ndio utaambiwa. Sema tu 4.3 haina copy and paste. But ipo faster na simply kuliko 6\
Sikubaliani na wewe! Inategemea kiwango cha memory ambacho simu yako inayo!
I dont agree with u hata kidogo mie natumia opera 6 na ni ten times better than opera 4.2.. tatizo sio opera bali specs za simu je inaweza kurun iyo
opera 6 kama simu haina uwezo uo utapata shida sana lakini kama uwezo unao aisee mie nikibrowse naona niko kama kwenye computer is
lightening fast and got alot of new features...pia ina depend maeneo na mtandao unaotumia kama unatumia GPRS/EDGE apo nakushauri tumia
zantel its very fast kwa GPRS/EDGE pia AIRTEL na VODACOM sio mbaya lakini TIGO terrible speed iyo ni GPRS/EDGE.. ni hayo tu
apollo huo ni mtazamo wako opera 4 haiwezi kukopy text but opera 5 au 6 inaweza. Mi naona bora uwe nazo zote visit hapa kwa version za opera na ucweb zote ambazo hazihitaji certificate just download hapa XtGem.com
Opera 4.3 ndo best kwa simu. Tembelea "m.operamini.com"