Problem On Pc

Belo

JF-Expert Member
Jun 11, 2007
12,882
10,193
Habari zenu wana JF naomba msaada Computer yangu niliifungua then nilipoifunga ikisha-boot inaleta message hapo chini na inaishia hapohapo haiwaki je tatizo ni nini? nahisi labda kuna ki2 kimekaa vibaya

(Novell Netware Ready Firmware V1.100(940809)
Copyright 1991-1994 Novell,Inc All Right Reserved
Sis 900/7016 PCI Adapters DOS ODI Driver VI.14(020416)
Copyright 1998 Sis Corp All Right Reserved)
 
Ndugu Yangu Hiyo Inaboot Na Network Card Wakati Ilitakiwa Kuboot Kwenda Kwa Hdd Au Cdrom

1 - Inawezekana Hard Drive Yako Imekufa

2 - Angalia Boot Sekuence Katika Bios Kisha Panga Upya

Ukitaka Kwenda Katika Bios Bonyeza Delete Au F2 Wakati Unawasha Hiyo Computer

Pia Funga Hiyo Hdd Kama Slave Kama Umeshindwa Kuonekana Kabisa Ili Uweze Kutoa Data Zako Mapemba

Kuna Aina Ya Hdd Ambazo Huzimika Zenyewe Nazo Ni Maxtor Sijui Yako Ni Aina Gani
 
Habari zenu wana JF naomba msaada Computer yangu niliifungua then nilipoifunga ikisha-boot inaleta message hapo chini na inaishia hapohapo haiwaki je tatizo ni nini? nahisi labda kuna ki2 kimekaa vibaya

(Novell Netware Ready Firmware V1.100(940809)
Copyright 1991-1994 Novell,Inc All Right Reserved
Sis 900/7016 PCI Adapters DOS ODI Driver VI.14(020416)
Copyright 1998 Sis Corp All Right Reserved)

..pamoja na kwamba hujatoa maelezo mengi,inaoneka hii pc imenunuliwa ikiwa imeshatumika...............

..sasa,mkiwa mnataka kununua vitu vya kiufundi kama hivi si vibaya mkapata ushauri toka kwa wazoefu, angalau.
 
Nadhani Belo uufuate ushauri wa SHY inaweza kusaidia KUFUNGUA tena pc yako.

Jamani nauliza, ktk laptop yangu kuna strips zinaonekana ninapoiwasha ila ikiwa off hazionekani, niliwahi kupeleka kwa washauri-ufundi wakasema matrix ina utata, mara wengine wakasema kuna virus ambao wameifanya iwe ivo. na mpaka sasa vimstari vipo nane vinaongezeka kila baada ya mwezi. Je hapo kunani??
 
Nadhani Belo uufuate ushauri wa SHY inaweza kusaidia KUFUNGUA tena pc yako.

Jamani nauliza, ktk laptop yangu kuna strips zinaonekana ninapoiwasha ila ikiwa off hazionekani, niliwahi kupeleka kwa washauri-ufundi wakasema matrix ina utata, mara wengine wakasema kuna virus ambao wameifanya iwe ivo. na mpaka sasa vimstari vipo nane vinaongezeka kila baada ya mwezi. Je hapo kunani??

..ya mwaka gani? inaweza ikawa display inakufa taratibu.
 
Nadhani Belo uufuate ushauri wa SHY inaweza kusaidia KUFUNGUA tena pc yako.

Jamani nauliza, ktk laptop yangu kuna strips zinaonekana ninapoiwasha ila ikiwa off hazionekani, niliwahi kupeleka kwa washauri-ufundi wakasema matrix ina utata, mara wengine wakasema kuna virus ambao wameifanya iwe ivo. na mpaka sasa vimstari vipo nane vinaongezeka kila baada ya mwezi. Je hapo kunani??

if its Dell,then thats a problem with display drivers,updated drivers will do enough.its a very common problem with dell displays.check their web-portal,they have a comprehensive solution in their site http://support.dell.com/

if its another manufacture then it can either be a driver related issue,or a hardware problem.
 
if its Dell,then thats a problem with display drivers,updated drivers will do enough.its a very common problem with dell displays.check their web-portal,they have a comprehensive solution in their site http://support.dell.com/

if its another manufacture then it can either be a driver related issue,or a hardware problem.

..pangu,

..ulikuwa umejificha wapi?
 
Kama utahamisha Uendesha Mgumu "Hard Drive" kwenye mtumwa "slave", basi kumbuka kubadilisha na virusha "jumpers" pia, la sivyo itakuwa bila bila. Tunakusaidia au ndo unazidi kutokomea gizani......Tuma PM au elezea in details tatizo lako usaidiwe zaidi.
 
Hi Watu Za Jumapili

Nami Napenda Kuongezea Mambo Kadhaa Tatizo Hilo La Strips Hata Laptop Zatoshiba Hizi Za Sasa Ambazo Ziko Sokoni Mjini Dar Es Salaam Ziko Hivyo Ukirudisha Dukani Watakwambia Ni Matatizo Ya Umeme Kwahiyo Hawawezi Kukurudishia Mali Upya .

Tafadhali Nenda Kaangalie Ni Ma Tech Wako Kama Kuna Chochote Kinahitajika Tutaweza Kukusaidia Zaidi

Ahsante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom