Duh.. Fidel, mbona unaua sana?? yani kosa dogo unamtwisha mtu mvua laki?? duh
MTM ukweli ndo huo watu siku hizi wanajitafutia umaarufu bila jasho
Alipoona jina la waberoya limechafuka akafikiri kubadili itasaidia ni kama shehe kubadili kanzu lakini anabaki shehe yule yule.Duh! ina maana Waberoya ndiyo Eng. Burton Bukuku? Maana hayo mathread yaliyoorozeshwa yalianzishwa na Waberoya.
Hata kama hapendi lakini ukweli mmoja ulio wazi ni kwamba hakuna hawezae kuzuia huu upepo wa mabadiliko, huyu Waberoya ni kilaza tu hana lolote.Jamaa huyu bwana anachukia mabadiliko, amezoea kidumu chama cha mapinduzi na fikira sahihi za Mwenyekiti.
Jamaa huyu bwana anachukia mabadiliko, amezoea kidumu chama cha mapinduzi na fikira sahihi za Mwenyekiti.
Exactly mkuu yuko obssessed na CDM, Slaa na Mbowe hawa jamaa huwa wanamtesa sana hajui mtu unaweza kuteseka kwa kupenda kitu au kuchukia kitu kupita kiasi.Waberoya alikuwa obssessed na CDM.Kama huyu ndo yeye basi anaendeleza tu upro fisadi wake.Lakini kumbe ni muhandisi.Mwanzoni alipokuja alikuwa hana matatizo ndo maana naamini katumwa.Inasikitisha sana.
Huyu mpuuzi amesema yeye hana muda wa kuchangia thread hii lakini cha kushangaza bado ameganda tu kwenye hii thread! swali kwani JF thread ni hii moja tu? au unawashwa?Hii Thead mbona imekaa ki-Kitchen Party zaidi, naona umeamua kufanya kazi za Mods, sina muda wa kuchangia huu upuuzi
System at work, Waberoya acha unafiki, kwa kweli Fellow Tablet umefanya shughuli pevu kumuumbua huyu mnafiki...
Kwahiyo huyu bwana anataka kutuaminisha kwamba hapa JF namba zetu za simu zinajulikana? hizi ni akili za makalioni.Mnafiki sana aisee huyu! Mfumo wetu wa elimu na serikali imefanya wengi wasiweze kuhoji ama hata kutofautiana kwa hoja. Darasani ilikuwa kosa kuuliza swali wala kutoa challenge. Serikali ndo kabisa inagandamiza sana ukiwa kinyume utapoteza kazi, nyumba na hata kutishiwa kuuwawa. Thanks to Vyama Vingi. Uzao wa akina Bukuku na ugando wa mawazo yao utafikia mwisho.
Maneno ya Waberoya haya
Kwaiyo huyu bwana anataka kutuaminisha hapa JF huwa tunajisajili na namba zetu za simu? hili ni akili za makalioni.
1. Some people have been tracking me for five months now
2. I have been receiving some message via my mobile phone with some contents suggesting my participation in JF
3. In some cases (not proved) some people have been following me.
Mfumo wetu na tamaduni za kuwa woga huwezi kuwa tofauti. Anachofanya BUkuku Eng Burton ni hicho nilichokieleza hapo juu. Hawezi kufanya kitu kinyume cha serikali..anafatiliwa kwenye simu hahahahahahaha anatishiwa kuuwawa...all these consipirancies.
Kwahiyo huyu bwana anataka kutuaminisha kwamba hapa JF namba zetu za simu zinajulikana? hizi ni akili za makalioni.
Rubbish plus plus.uzuri wa engineer, ni kua anapost thread, then anaanza kumark...like failed, failed, pass, cannot grade..........hii imenifurahisha sana, keep on marking brother..........i wonder how wil u mark mine............but kiukweli, umehit point..........and jamaa zangu, jibuni hoja kwa hoja.....not ushabiki.........