toroka uje mjini
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 1,584
- 2,107
Mimi natoka Igunga via pori la ibembampazi,chunya to mbeya na Land Rover 109(mwarobaini)
Wewe kwenda hapo tu Arusha unajuiliza uliza hivi?tena rav4 model 2004.halaf unakaujuzi kaufundi hata ukipata Pancha unajua kupiga jeki na barabara lami tupu
Mkuu piga machine usiwe MTT wa mama gari ya Mgumu hairudi nyuma
Punda Afe lkn Mzigo,,,,,,,
Wewe kwenda hapo tu Arusha unajuiliza uliza hivi?tena rav4 model 2004.halaf unakaujuzi kaufundi hata ukipata Pancha unajua kupiga jeki na barabara lami tupu
Mkuu piga machine usiwe MTT wa mama gari ya Mgumu hairudi nyuma
Punda Afe lkn Mzigo,,,,,,,