Private car: Je ni salama kusafiri mwenyewe up country

Ukaridayo

JF-Expert Member
Oct 8, 2012
507
469
Mambo vipi wakuu...

Nimeona nililete hili swali hapa coz mara nyingi limekuwa likinisumbua sana... Na hii inatokana na historia yangu ya huko nyuma mana gari ya kwanza kuimiliki ilkuwa ni spana mkonon/ESCUDO.. Yana niliujua ufundi pasipo kupenda ilifikia kipindi nikakosa kabisa mzuka na gari kwa kero nilizokuwa naexprience...

Zile effects leo zimenifanya nije kuuliza hapa but gari niliyonayo now ni RAV4, 2004, 1750CC, VVTi Mzigo ni wa hivi karibuni..

Safari zangu ni mara 1 either 2 kwa mwezi Dar- Arusha- Mwanza then Dar

Nimezingatia matairi, break, makorokoro ya alama, fire, spana,
Belt, jack n.k yote yapo

Nataka nitoke nikiwa mwenyewe kwa kuanzia Dar Arusha na ndyo long safari yangu ya kwanza... Je kuwa mwenyewe kwa safari yote hiyo ni salama???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo vipi wakuu...

Nimeona nililete hili swali hapa coz mara nyingi limekuwa likinisumbua sana... Na hii inatokana na historia yangu ya huko nyuma mana gari ya kwanza kuimiliki ilkuwa ni spana mkonon/ESCUDO.. Yana niliujua ufundi pasipo kupenda ilifikia kipindi nikakosa kabisa mzuka na gari kwa kero nilizokuwa naexprience...

Zile effects leo zimenifanya nije kuuliza hapa but gari niliyonayo now ni RAV4, 2004, 1750CC, VVTi Mzigo ni wa hivi karibuni..

Safari zangu ni mara 1 either 2 kwa mwezi Dar- Arusha- Mwanza then Dar

Nimezingatia matairi, break, makorokoro ya alama, fire, spana,
Belt, jack n.k yote yapo

Nataka nitoke nikiwa mwenyewe kwa kuanzia Dar Arusha na ndyo long safari yangu ya kwanza... Je kuwa mwenyewe kwa safari yote hiyo ni salama???

Sent using Jamii Forums mobile app
Safari zangu mara nyingi nafanya peke yangu au pengine naweza kupakia mtu mmoja kwa ajili ya kupiga nae story njiani na hy ninaweza kumchukua hata njiani ila vigezo vyote vya usalama wangu navizingatia. Safari zote ndefu nafanya hivo na nikiwa na haraka natembea pekee.

Cha kuzingati
  1. Heshimu sheria za usalama barabarani. Overtake isiyozingatia sheria za usalama ni hatari
  2. Usile hovo hovo njian na kushiba sana, usije jikuta unasinzia na kugonga au kuangusha gari njiani.
  3. Usibebe kila mtu njiani, ni hatari.
  4. Ukiona umechoka paki upumzike, ni hatari kuendesha gari ukiwa umechoka.
  5. Ikiwa umeendesha gari usiku kwa masaa mengi hakikisha muda wa saa 10 hadi saa 12 kasoro asubuhi unapumzika maana muda huo ndo madereva wengi hujikuta wanasinzia na kuangusha magari. Tambua kuwa hata binadamu yeyote anayekosa usingiz ukifika muda wa kuanzia saa 9 hadi 12 alfajiri ni lazima asinzie.
  6. Ikiwa unasafiri usiku ni vyema ukaanza safari zako kuanzia saa 7 usiku baada ya kuwa umelala kwa masaa kadhaa kabla. Lakini uzingatie usalama wa njiani kwani muda huo magari ni machache barabarani ukipata tatizo hutapata msaada tofauti na muda wa kuanzia saa 10 alfajiri ambapo watu wengi wanakuwa wameanza kuingia barabarani.

Kila la heri na gari jipya mkuu, hongera.
 
Kama unauhakika safari yako itakua ya asubuh na mchana tu peke yako its fine plus uwe na CD au flash disk ya nyimbo zilizochangamka.

kama ni safari ya usiku kwa usiku aisee uwe na mtu wa kupiga nae story...usiku macho yanachoka mapema sana.
 
Safari zangu mara nyingi nafanya peke yangu au pengine naweza kupakia mtu mmoja kwa ajili ya kupiga nae story njiani na hy ninaweza kumchukua hata njiani ila vigezo vyote vya usalama wangu navizingatia. Safari zote ndefu nafanya hivo na nikiwa na haraka natembea pekee.

Cha kuzingati
  1. Heshimu sheria za usalama barabarani. Overtake isiyozingatia sheria za usalama ni hatari
  2. Usile hovo hovo njian na kushiba sana, usije jikuta unasinzia na kugonga au kuangusha gari njiani.
  3. Usibebe kila mtu njiani, ni hatari.
  4. Ukiona umechoka paki upumzike, ni hatari kuendesha gari ukiwa umechoka.
  5. Ikiwa umeendesha gari usiku kwa masaa mengi hakikisha muda wa saa 10 hadi saa 12 kasoro asubuhi unapumzika maana muda huo ndo madereva wengi hujikuta wanasinzia na kuangusha magari. Tambua kuwa hata binadamu yeyote anayekosa usingiz ukifika muda wa kuanzia saa 9 hadi 12 alfajiri ni lazima asinzie.
  6. Ikiwa unasafiri usiku ni vyema ukaanza safari zako kuanzia saa 7 usiku baada ya kuwa umelala kwa masaa kadhaa kabla. Lakini uzingatie usalama wa njiani kwani muda huo magari ni machache barabarani ukipata tatizo hutapata msaada tofauti na muda wa kuanzia saa 10 alfajiri ambapo watu wengi wanakuwa wameanza kuingia barabarani.

Kila la heri na gari jipya mkuu, hongera.
Thanks mkuu.... Umeniongezea kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakikisha gari haikosi kitambulisho chako,namba yako ya simu,maji ya akiba unaweza ukaweka carton 1 siti ya nyuma,maji ya emergency kama lita 5 hivi,kisu panga au sime,USB cable,Rungu,Tochi,Filimbi,Kiberiti,Pain killer kama Panadol,tairi ya akiba ya maana.Mengine tutakumbushana panapo majaliwa
 
Kuna chalii ni fundi magari anatokaga Dar-Arusha kwenye saa 10 alfajiri...
By saa 3 asubuhi yupo Arusha mjini.. Muhimu uwe makini tu barabarani, jamaa anatembeza noah speed 140 hapo ndio wastan wake akipata mnyooko anakandamiza 160km/h
 
Kuna chalii ni fundi magari anatokaga Dar-Arusha kwenye saa 10 alfajiri...
By saa 3 asubuhi yupo Arusha mjini.. Muhimu uwe makini tu barabarani, jamaa anatembeza noah speed 140 hapo ndio wastan wake akipata mnyooko anakandamiza 160km/h
daah huyo jamaa ni hatari sana huo mwendo ni balaa
 
Nothing is safer these days....Ukiwa unasafiri utushtue ili tuchangiane mafuta.
 
  • Thanks
Reactions: cpt
Kuna chalii ni fundi magari anatokaga Dar-Arusha kwenye saa 10 alfajiri...
By saa 3 asubuhi yupo Arusha mjini.. Muhimu uwe makini tu barabarani, jamaa anatembeza noah speed 140 hapo ndio wastan wake akipata mnyooko anakandamiza 160km/h
Kuna mtu ataitwa mjane sio mda mrefu kupitia dereva uyu.
 
Mambo vipi wakuu...

Nimeona nililete hili swali hapa coz mara nyingi limekuwa likinisumbua sana... Na hii inatokana na historia yangu ya huko nyuma mana gari ya kwanza kuimiliki ilkuwa ni spana mkonon/ESCUDO.. Yana niliujua ufundi pasipo kupenda ilifikia kipindi nikakosa kabisa mzuka na gari kwa kero nilizokuwa naexprience...

Zile effects leo zimenifanya nije kuuliza hapa but gari niliyonayo now ni RAV4, 2004, 1750CC, VVTi Mzigo ni wa hivi karibuni..

Safari zangu ni mara 1 either 2 kwa mwezi Dar- Arusha- Mwanza then Dar

Nimezingatia matairi, break, makorokoro ya alama, fire, spana,
Belt, jack n.k yote yapo

Nataka nitoke nikiwa mwenyewe kwa kuanzia Dar Arusha na ndyo long safari yangu ya kwanza... Je kuwa mwenyewe kwa safari yote hiyo ni salama???

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama hakuna anayekufuatilia nyuma na Toyota Land Cruiser nyeupe au Premio ni salama kabisa kusafiria mwenyewe kwenda huko mashinani / upcountry / mikoani Mkuu.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom