Ukaridayo
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 507
- 469
Mambo vipi wakuu...
Nimeona nililete hili swali hapa coz mara nyingi limekuwa likinisumbua sana... Na hii inatokana na historia yangu ya huko nyuma mana gari ya kwanza kuimiliki ilkuwa ni spana mkonon/ESCUDO.. Yana niliujua ufundi pasipo kupenda ilifikia kipindi nikakosa kabisa mzuka na gari kwa kero nilizokuwa naexprience...
Zile effects leo zimenifanya nije kuuliza hapa but gari niliyonayo now ni RAV4, 2004, 1750CC, VVTi Mzigo ni wa hivi karibuni..
Safari zangu ni mara 1 either 2 kwa mwezi Dar- Arusha- Mwanza then Dar
Nimezingatia matairi, break, makorokoro ya alama, fire, spana,
Belt, jack n.k yote yapo
Nataka nitoke nikiwa mwenyewe kwa kuanzia Dar Arusha na ndyo long safari yangu ya kwanza... Je kuwa mwenyewe kwa safari yote hiyo ni salama???
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona nililete hili swali hapa coz mara nyingi limekuwa likinisumbua sana... Na hii inatokana na historia yangu ya huko nyuma mana gari ya kwanza kuimiliki ilkuwa ni spana mkonon/ESCUDO.. Yana niliujua ufundi pasipo kupenda ilifikia kipindi nikakosa kabisa mzuka na gari kwa kero nilizokuwa naexprience...
Zile effects leo zimenifanya nije kuuliza hapa but gari niliyonayo now ni RAV4, 2004, 1750CC, VVTi Mzigo ni wa hivi karibuni..
Safari zangu ni mara 1 either 2 kwa mwezi Dar- Arusha- Mwanza then Dar
Nimezingatia matairi, break, makorokoro ya alama, fire, spana,
Belt, jack n.k yote yapo
Nataka nitoke nikiwa mwenyewe kwa kuanzia Dar Arusha na ndyo long safari yangu ya kwanza... Je kuwa mwenyewe kwa safari yote hiyo ni salama???
Sent using Jamii Forums mobile app