Wapendwa nishaurini,
Huyu nijamaa yangu amemaliza mtihani wa form four na anauhakika wa kufanya vizuri ila kwasababu ya majukumu anataka kupumzika kwanza yaani anataka kwenda chuo chochote ili aweze kupata ajira then badae aendelee na masomo ya A Level ila tatizo nikwamba hajui aende chuo gani.
Ushauri wenu tafadhali.
Aksanteni
Huyu nijamaa yangu amemaliza mtihani wa form four na anauhakika wa kufanya vizuri ila kwasababu ya majukumu anataka kupumzika kwanza yaani anataka kwenda chuo chochote ili aweze kupata ajira then badae aendelee na masomo ya A Level ila tatizo nikwamba hajui aende chuo gani.
Ushauri wenu tafadhali.
Aksanteni