Prison Break Season 6 Is Back!!!

yule ndo mwamba sasa na c note..maboya wakamuua mapema abruz
huyu alikuja kufa kifo cha ajabu pamoja na kuwa alikuwa mbabe wa gerezani baada ya kuchukua hatamu kutoka kwa Lachero, Sammy
250


Huyu jamaa alikuwa mbabe sana akiwa gerezani
250
 
Ndo maana mwigizaji anabaki kuwa mwigizaji, kazi ya utunzi awaachie watunzi.
Hapa ndipo walipokuja kuharibu Bongo Movie! Mtu akiigiza movie zake mbili, kesho anaandika script wakidhani kuandika script ni kama kuigiza ambako, just kwa maelekezo mazuri ya director, unaweza kuigiza vizuri hata kama ulikuwa hujawahi kuigiza hapo kabla!!
 
Hapa ndipo walipokuja kuharibu Bongo Movie! Mtu akiigiza movie zake mbili, kesho anaandika script wakidhani kuandika script ni kama kuigiza ambako, just kwa maelekezo mazuri ya director, unaweza kuigiza vizuri hata kama ulikuwa hujawahi kuigiza hapo kabla!!

Unajua kama siyo mfuatiliaji mzuri wa haya mambo unaweza kudhani eti zile akili za ku-break prison ni za kina Scofield, na unaweza kudhani jamaa ni genius, kumbe kuna genius behind all those. Kwa hilo wazo alilloleta unajua kabisa huyu hakuna kitu kwenye utunzi.

Bongo utakuta A Vincent Kigosi Movie, main Director ni yeye, main character ni yeye, mtunzi ni yeye, location manager ni yeye, etc etc. Unakuta movie zote alizo act zinafanana kila kitu kwa sababu mawazo ni ya mtu mmoja.
 
Unajua kama siyo mfuatiliaji mzuri wa haya mambo unaweza kudhani eti zile akili za ku-break prison ni za kina Scofield, na unaweza kudhani jamaa ni genius, kumbe kuna genius behind all those. Kwa hilo wazo alilloleta unajua kabisa huyu hakuna kitu kwenye utunzi.

Bongo utakuta A Vincent Kigosi Movie, main Director ni yeye, main character ni yeye, mtunzi ni yeye, location manager ni yeye, etc etc. Unakuta movie zote alizo act zinafanana kila kitu kwa sababu mawazo ni ya mtu mmoja.
Yah! Majority ya wasiofahamu film production wanadhani yale yanayotokea ni akili za waigizaji bila kufahamu msingi wa yote ni Mwandishi huku Director akihakikisha uhalisia unatimia! Ndo kuna cku niliwaambia hapa watu kwamba filamu yoyote msingi wake ni script... ukishakuwa na tight script, unaweza kwenda pale Kariakoo na kuchagua watu wa kuigiza at random na bado wakaigiza filamu yenye hadhi ya Oscar provided kuna tight script na director mzuri!!!

Kinyume chake, ukishakuwa na script mbovu, hata ukichukua A-List Actors kutoka Hollywood, bado filamu itakuwa mbovu tu!! Utaalamu wote wa waigizaji na director utaishia kutoa bidhaa mbovu isiyo na mvuto!!!
 
Baada ya 24 Legacy kuwa cancelled, wadau wakawa wanaitupia macho PB ambayo tangu kutoka kwa Season 5, hapakuwa na taarifa yoyote ikiwa pangekuwa na Season 6 au ingekuwa cancelled. Kwa muda mrefu, hapakuwa na kauli yoyote official... in fact, hadi sasa hakuna official statement ya kuwa itaendelea au cancelled.

Dana Walden, boss wa FOX aliwahi kunukuliwa akisema hata kama PB itarudi still haiwezi kuwa mwaka huu wala mwakani, huku akisisitiza wanataka iwe special na sio ya kutoa kila msimu!

Hata hivyo, waigizaji wenyewe wanaonekana bado wanaitamani. Michael Scofield kwa mfano, mwishoni mwa October ali-share idea for PB Season 6 ambayo aliiwakisilisha kwa creators wa PB. Hata hivyo, inaonekana creators hawakuwa interested na idea yake, at least kwa wakati huo!!

Idea ya Michael Scofield for Season 6 ni hii hapa:

View attachment 649955

Kwamba, 23 years Tag ambae pia ni genius tech billionaire, ni Super Fan wa Michael na Lincoln. Hakuna anachopenda kuona toka kwa ndugu hao wawili kama uwezo wao wa kutoroka kwenye magereza mbalimbali kuanzia Fox River (Season 1), Sona (Season 3) hadi Ogygia (Season 5).

Ili kufanikisha shauku yake hiyo, Tag anawateka Michael na Lincoln na kuwatupa kwenye jela ya vijana inayofahamika kama LOCKWITH HOME FOR BOYS. "Jela" hii ni abandoned facility ambayo kwa hivi sasa inamilikiwa na Tag mwenyewe huku akilenga kuitumia kwa lengo moja tu... kuwaona Michael na Lincoln wakifanya yale ya Season 1-5.

Na kwavile pesa kwake si tatizo, kijana mtukutu, au sociopath kama alivyoitwa na Michael, amefanikiwa kuligeuza eneo zima lenye ekari 1000 liendane na mandhari kama yale yaliyopata kutokea Season 1-5! Which means, ndani ya hizo ekari 1000, kuna Fox River, Sona na Ogygia.

Hiyo ilikuwa ndio idea ya Michael Scofield ambayo aliwasilisha kwa ajili ya season 6 lakini jamaa wakaipiga chini!!!

Lakini wakati bado hakuna taarifa rasmi, Lincoln ame-post kuashiri kwamba Seaon 6 inakuja!! Kisichofahamika ni kwamba watakuja kwa staili ipi hasa ukizingatia Season 5 iliishia Michael akiwa anapata full immunity na kurudi kwa familia.

View attachment 649961
Uwongo mkubwa uliowahi kuandikwa JF ni huu.. kamwe film producers hawawezi kutoa plot wakat film haijaachiwa. Sana watatoa premises tu
 
Back
Top Bottom