Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,445
MAKAO makuu ya kifalme ya Uingereza yamesema mwanamfalme Prince William antarajiwa kufanya ziara ya kwanza katika nchi za Israel na Palestina.
Ziara hiyo ataifanya kutokana na uhusiano mzuri uliopo kati ya nchi hizo na familia za kifalme.