JOHNGERVAS
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 470
- 597
John Kimario maarufu kama Prince Galaxie ni msanii chipukizi kutoka kata ya Kirongo Samanga Usseri wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro ameanza game tangu 2014 lakini sasa amekuja na ngoma yake mpya inayoitwa 'ananibambaga' ambayo inafanya vizuri katika vituo mbalimbali vya Radio hususani kule Kenya na hapa Tz. Kiukweli dogo anajitahidi sana kama hujawahi kucheki video yake hebu icheki hapa
Amefanya video kali sana tumpe sapoti
Amefanya video kali sana tumpe sapoti