mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Kwa walioona jinsi mwana wa malkia wa Uingereza, Charles alivyopokelewa ikulu watakubaliana nasi kuwa ukoloni bado upo. Hata hili la ushoga na rais Jakaya Kikwete kuamua kunyamaza si bure. Linaweza kupita kama uchafuzi wa mila kwa kisingizio cha kutangaza vita dhidi ya ukimwi. Kwanini hatukui na kujifunza kuwa wenzetu wanatuona mashoga kutokana na kushiriki ushoga wa kiuchumi? Nilitegemea angalau atupiwe jiwe moja kuonyesha kuwa tumeamka kumbe wapi!