Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
- Thread starter
- #21
toka 2007 aliposajili gazeti la taifa tanzania mali ya nazir karamagi
Na hilo gazeti lilikuwa halifati kabisa maadili, lilikuwa linatoa habari za upande mmoja tu wa kumtetea fisadi Karamagi bila ya kubalance story. Bagenda siyo mwandishi kamwe, ni mnafiki na mtu wa intrigues tu.