Mtoto wa kijiji
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 319
- 184
Kwa nini pride wanatufanyia haya?
Kwa muda sasa pride hapa arusha wamekua hawatoi mikopo.kila siku tunafuatilia akiba zetu lakini ni maneno tu.leo tumeenda wamesema eti turudi baada ya miaka 3.hizi ni dharau za hali ya juu.tupo tunaelekea kwa mkuu wa mkoa mrisho gambo tujue hatma yetu.hadi kieleweke...popote alipo rais wetu mpendwa Magufuli atusaidie.nawakilisha...
Kwa muda sasa pride hapa arusha wamekua hawatoi mikopo.kila siku tunafuatilia akiba zetu lakini ni maneno tu.leo tumeenda wamesema eti turudi baada ya miaka 3.hizi ni dharau za hali ya juu.tupo tunaelekea kwa mkuu wa mkoa mrisho gambo tujue hatma yetu.hadi kieleweke...popote alipo rais wetu mpendwa Magufuli atusaidie.nawakilisha...