Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,407
- 40,475
Poleni na majukumu, nimekuja kwenu kuomba msaada juu ya jambo hili.
Mke wangu ni mjamzito wa miezi mitano kwenda wa sita sasa, katika kuhudhuria clinic hii ni mara ya pili vipimo vinaonyesha pressure yake ipo chini.
Je hii ina athari gani kwa mama na mtoto aliye tumboni? Maana ni ujauzito wake wa kwanza na kwa jinsi alivyopitia changamoto nyingi tokea kuubeba itakua uchungu mkubwa kwetu sote mimi na mke wangu endapo tatizo hili litasababisha tatizo lolote kiafya kwa mama na mtoto.
Pia kama ipo njia nyingine ya kuipandisha pressure yake ikae sawa tofauti na kuchanganya Oral na glucose kama alivyoshauriwa clinic, nitafurahi kuifahamu.
Natanguliza shukrani, pia samahani kama mada hii imejirudia.
Mke wangu ni mjamzito wa miezi mitano kwenda wa sita sasa, katika kuhudhuria clinic hii ni mara ya pili vipimo vinaonyesha pressure yake ipo chini.
Je hii ina athari gani kwa mama na mtoto aliye tumboni? Maana ni ujauzito wake wa kwanza na kwa jinsi alivyopitia changamoto nyingi tokea kuubeba itakua uchungu mkubwa kwetu sote mimi na mke wangu endapo tatizo hili litasababisha tatizo lolote kiafya kwa mama na mtoto.
Pia kama ipo njia nyingine ya kuipandisha pressure yake ikae sawa tofauti na kuchanganya Oral na glucose kama alivyoshauriwa clinic, nitafurahi kuifahamu.
Natanguliza shukrani, pia samahani kama mada hii imejirudia.