Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,364
- 33,003
GbadoliteNikiufikiria uwanja wa ndege wa Chato nashikwa na huzuni kubwa, utafanya kazi gani ule uwanja jamani
GbadoliteNikiufikiria uwanja wa ndege wa Chato nashikwa na huzuni kubwa, utafanya kazi gani ule uwanja jamani
Unaweweseka tu hata huelweki sasa! Poleni kwa musibaWiki iliyopita Katibu mkuu wa CHADEMA J J Mnyika aliitisha kikao cha waandishi wa habari na kuhoji alipo Rais Magufuli na kama yupo salama. Waziri mkuu mh Majaliwa alijibu siku hiyo hiyo akiwa mkoani Njombe kikazi.
Jana J J Mnyika alitangaza kikao kingine cha waandishi wa habari ambacho kingefanyika leo lakini usiku wa jana alikiahirisha kufuatia tangazo la msiba wa Rais Magufuli lililotolewa na makamu wa Rais Mama Samia.
Huyu J J Mnyika anaonekana kuanza kukomaa kisiasa.
Maendeleo hayana vyama!
Comrade pole sana kwa msiba mzito uliokukumba.
wale wanyama waliopelekwa chato kwa nguvu bado wana stress na iko siku wataanza safari kurudi kwenye makazi yao ya asiliNafikiria ile hotel ya star ngapi sihui inayojengwa burigi chato,sijui itaendelea kujengwa?
Kuna yule aliesema eti Mungu amshukuru magu, nae wala hakukemea hili.WALIMWITA MASIHI NA KUTAKA ASUJUDIWE. NAYE AKIJIPA MAMLAKA YA KUONGOZA MALAIKA
mjinga pole sana kwa msiba mkubwa.
Madam President .... Sawasawaaaakazi yako ya kwanza Miss President nadhani nikupunguza hizi chuki baina yetu
Hahaaa eti miss president.kazi yako ya kwanza Miss President nadhani nikupunguza hizi chuki baina yetu
Gbadolite za chato zitakufa! SGR nk itaendeleaYaani kila nikifikiria miradi ya JPM nashikwa na huzuni. Sijui nani anaweza kuiendeleza. Maana mwisho wa siku ni kodi zetu.
Maana yote ilikuwa inafanyika kwa utashi wa mtu mmoja!
Mkuu acha kabisa. Unajua kuna mambo yatakuwa hasara kubwa sana kwa Kweli..Kuubwa mnooUnafanya comparative study na kile kijiji cha kule DRC kwa Mzee mobutu seseseko kuku mbendu wa Zabanga? adrenaline
WALIMWITA MASIHI NA KUTAKA ASUJUDIWE. NAYE AKIJIPA MAMLAKA YA KUONGOZA MALAIKA