Rose Gabriella
JF-Expert Member
- Oct 17, 2020
- 603
- 573
Wote ni wabantuHao wote ni ndugu zetu
Wote ni wabantuHao wote ni ndugu zetu
Mimi pia aliwahi kunitongoza yule mayalaMnyika anawala sana madem wa BAWACHA
kwahiyo ndiyo kazi iliyomweka hapo eeee!Mnyika anawala sana madem wa BAWACHA
Kwani ukitongozwa shida iko wapi best? Shida ni kumkubalia kutongozwa nayo ni bahati kuna watu hata wakumtizama jicho moja hakuna hivyo shukuru, hakukunulia hata soda?Mimi pia aliwahi kunitongoza yule mayala
Sasa kama Malawi wasipo soma Kiswahili si watapata shida sana maana maisha yao wanatafutia TanzaniaKama hausomi huyo ni wewe kijana Malawi watu wanasoma sana Kiswahili
Aninunulie wapi shoga yangu? Wee acha tu.Kwani ukitongozwa shida iko wapi best? Shida ni kumkubalia kutongozwa nayo ni bahati kuna watu hata wakumtizama jicho moja hakuna hivyo shukuru, hakukunulia hata soda?
Ushahuri mbaya tu huuKuandika vitabu ni uchuro, umeona wenzie Mufuruki, Reginald Mengi, Mwapachu, Mkapa e.t.c wako wapi sasa namshauri asiandike hata kidogo
Pole shoga yangu, kwahiyo aliishia kukirushia mate ya uso tu?Aninunulie wapi shoga yangu? Wee acha tu.
I seeNaunga mkono hoja
Mimacho
Next week njoo ununio bestI see
Huyo jamaa ni BAVICHA achana nayeUshahuri mbaya tu huu
Ndio kalijua, kabla ya hapo alikuwa akitumia neno gani? Ushamba!Huyo jamaa huwaga hana kabisa adabu kwa wenzio humu JF. Neno FVCKING kwake ni la kawaida sana. Sijui kabila gani?
Merkel kabadili katiba lini? Mpaka mrithi wake kashapendekezwa atakapobwaga majanga mwaka huu.Rais ndo kwanza kaanza kazi unaanza kuzungumza juu ya kustaafu!!! Ikifika 2034 uanze topics zako hizo, kwa sasa ndo kazi imeanza. Rais wa Russia Putin na wa Germany Merkel wameongezewa muda na ni wazungu na pia nchi za first world kwanini sisi tusiongeze muda? Third world country!
Wote njia yetu moja, tulizaliwa, tutakufa!Kuandika vitabu ni uchuro, umeona wenzie Mufuruki, Reginald Mengi, Mwapachu, Mkapa e.t.c wako wapi sasa namshauri asiandike hata kidogo
Mnyika anapenda Mademu kama ZittoAninunulie wapi shoga yangu? Wee acha tu.
Daaah pole sana bestMimi pia aliwahi kunitongoza yule mayala
Hakika kila nafsi lazima itaonja mautiWote njia yetu moja, tulizaliwa, tutakufa!
Wanawake mko kinyume nyume sana, usipotongozwa unaanza kujihisi unakasoro, ukitongozwa unamuita mtongozaji malaya. Haya bhana...Mnyika anapenda Mademu kama Zitto