Mtanzania Huru
Member
- Apr 20, 2011
- 28
- 29
Lessons from WikiLeaks presidential bribery claims
Tuhuma za WikiLeaks zimetufundisha mambo mengi sana kuhusu masuala ya maadili, mwenendo wa Ikulu na wafanyakazi wa serikali. Baadhi ya mafunzo hayo ni kama hivi:
1. Rais wa Tanzania hununuliwa nguo zake zote. Huko Marekani Rais wa nchi hununua vitu vyake mwenyewe na hulipia mpaka chakula anachokula White House yeye, familia yake na wageni wake.
2. Rais wa Tanzania na viongozi wa serikali hupokea zawadi kutoka kwa watu mbalimbali bila kujali thamani ya zawadi hizo. Tukumbuke Mkapa na Mama Mkapa na zawadi za bakuli na bangili za dhahabu.
Huko Marekani, kuna utaratibu mkali kuhusu zawadi kwa watumishi umma. Mfano, kuna zawadi ambazo viongozi wa umma hawaruhusiwi kupokea na zawadi zozote zinazozidi thamani iliyowekwa na serikali zinawekwa kwenye jumba la maonesho (archive) na kila mwaka hutolewa orodha ya zawadi hizo. Tanzania inapaswa kuanzisha sheria/utaratibu/kanuni kuhusu zawadi kwa viongozi wa umma ili kulinda maadili.
Gifts From Outside Sources
Executive branch employees are subject to restrictions on the gifts that they may accept from sources outside the Government. Generally they may not accept gifts that are given because of their official positions or that come from certain interested sources ("prohibited sources"). Prohibited sources include persons (or an organization made up of such persons) who --
In addition, an employee can never solicit or coerce the offering of a gift, or accept a gift in return for being influenced in the performance of an official act. Nor can an employee accept gifts so frequently that a reasonable person might think that the employee was using public office for private gain.
There are a number of exceptions to the ban on gifts from outside sources. These allow an employee to accept --
These exceptions are subject to some limitations on their use. For example, an employee can never solicit or coerce the offering of a gift. Nor can an employee use exceptions to accept gifts on such a frequent basis that a reasonable person would believe that the employee was using public office for private gain.
If an employee has received a gift that cannot be accepted, the employee may return the gift or pay its market value. If the gift is perishable (e.g. a fruit basket or flowers) and it is not practical to return it, the gift may, with approval, be given to charity or shared in the office.
http://www.usoge.gov/common_ethics_issues/gifts_outside_sources.aspx
http://www.state.gov/documents/organization/154926.pdf
Tuhuma za WikiLeaks zimetufundisha mambo mengi sana kuhusu masuala ya maadili, mwenendo wa Ikulu na wafanyakazi wa serikali. Baadhi ya mafunzo hayo ni kama hivi:
1. Rais wa Tanzania hununuliwa nguo zake zote. Huko Marekani Rais wa nchi hununua vitu vyake mwenyewe na hulipia mpaka chakula anachokula White House yeye, familia yake na wageni wake.
2. Rais wa Tanzania na viongozi wa serikali hupokea zawadi kutoka kwa watu mbalimbali bila kujali thamani ya zawadi hizo. Tukumbuke Mkapa na Mama Mkapa na zawadi za bakuli na bangili za dhahabu.
Huko Marekani, kuna utaratibu mkali kuhusu zawadi kwa watumishi umma. Mfano, kuna zawadi ambazo viongozi wa umma hawaruhusiwi kupokea na zawadi zozote zinazozidi thamani iliyowekwa na serikali zinawekwa kwenye jumba la maonesho (archive) na kila mwaka hutolewa orodha ya zawadi hizo. Tanzania inapaswa kuanzisha sheria/utaratibu/kanuni kuhusu zawadi kwa viongozi wa umma ili kulinda maadili.
Gifts From Outside Sources
Executive branch employees are subject to restrictions on the gifts that they may accept from sources outside the Government. Generally they may not accept gifts that are given because of their official positions or that come from certain interested sources ("prohibited sources"). Prohibited sources include persons (or an organization made up of such persons) who --
- are seeking official action by, are doing business or seeking to do business with, or are regulated by the employee's agency, or
- have interests that may be substantially affected by performance or nonperformance of the employee's official duties.
In addition, an employee can never solicit or coerce the offering of a gift, or accept a gift in return for being influenced in the performance of an official act. Nor can an employee accept gifts so frequently that a reasonable person might think that the employee was using public office for private gain.
There are a number of exceptions to the ban on gifts from outside sources. These allow an employee to accept --
- a gift valued at $20 or less, provided that the total value of gifts from the same person is not more than $50 in a calendar year
- a gift motivated solely by a family relationship or personal friendship
- a gift based on an employee's or his spouse's outside business or employment relationships, including a gift customarily provided by a prospective employer as part of bona fide employment discussions
- a gift provided in connection with certain political activities
- gifts of free attendance at certain widely attended gatherings, provided that the agency has determined that attendance is in the interest of the agency
- modest refreshments (such as coffee and donuts), greeting cards, plaques and other items of little intrinsic value
- discounts available to the public or to all Government employees, rewards and prizes connected to competitions open to the general public.
These exceptions are subject to some limitations on their use. For example, an employee can never solicit or coerce the offering of a gift. Nor can an employee use exceptions to accept gifts on such a frequent basis that a reasonable person would believe that the employee was using public office for private gain.
If an employee has received a gift that cannot be accepted, the employee may return the gift or pay its market value. If the gift is perishable (e.g. a fruit basket or flowers) and it is not practical to return it, the gift may, with approval, be given to charity or shared in the office.
http://www.usoge.gov/common_ethics_issues/gifts_outside_sources.aspx
http://www.state.gov/documents/organization/154926.pdf