TumekusameheSamahanini kwa ntakaowaudhi kwakujiuliza maswali haya
AsanteTumekusamehe
Hahah kaka wewe ndyo nimekuelewa kuliko wote na nnaunga mkono hoja yako na kazi iendeleeeWalianza kumuua Rais wa Burundi wakaja Tanzania
Kwahiyo mwacheni mama aendelee na mipango yake na yeye anapenda kuendelea kuishi
Putin anasema nchi ikijiheshimu mataifa mengine yataiheshimu nchi hiyo. Ameongeza kuwa ni kukosa wekeledi kukodisha mtu kufanya kiitwacho usafi wa taswira ya nchi.Bright idear Connection na trust mserereko fedha za covid wadau zenye mashariti nafuu.
Watu mkishavimbiwa makande then straight to JF kuja kumwaga mashuziWashauri wa Samia:
1. Mchengelwa: mkwe wake
2. Tony Blair
3. Mpango
4. Mwigulu
5. Kagame
Umesema kitu. Hana maono. Vibaka kama tony blair wanakuja kumlaghai anaangukia pua wanapiga hela. Nimeona mama kama anawapapatikia hawa wakora bila kujua ni watu wa kuona fulsa kama tai 😂😂😂Huyu Blair aliyetuuzia Rada ya Bei ya chini kwa Bei kubwa mpaka mawaziri wake wakajiuzulu na Sasa hivi Ana kashifa ya ufisadi kwao ndio atusaidie naamini hatuna rais
Nyerere aliwekwa madarakani Na waingereza. Alishapinduliwa Na majeshi. Shukrani yake waingereza wamesomba almasi Za mwadui Na wanafanya watakalo TZ.Aisee - Sasa Waziri wa Mambo ya Nje anafutwa kazi maana kazi zake zinafanywa na TB. Na Waziri wa Afya naye kibarua kinaota nyasi? Maana uratibu wa Covid 19 sasa utafanywa na TB.
Hivi Mwl Nyerere, alijenga reputation ya Tanzania kwa kum-hire nani amsaidie? Labda siijui taarifa hii.
The engine is hit and it won't be resuscitated1.How much Sir (after receiving lordship from 'Her Majesty') Blair is being paid by our beloved President Samia?
2. Does Sir Blair receive earning from our Treasurer or from our Mama monthly salary?
3.How much Sir Blair pays as taxes to our TRA as well as the PAYE collection?
====
The answers of these questions will build more confidence from now on than the previous sessions of trusting our machinerie.