#COVID19 President Samia hires Tony Blair to help in the fight against COVID-19, and rebuild the country's reputation

Kusema kwamba yeyote anayem-critise mama Samia ni mfuasi wa JPM huo ni utOpolo na inonyesha jinsi ulivyo na mahaba ya kijinga.
Hivi kuna ujinga zaidi huo?! Hunijui, sikuji. sijawahi kufanya mijadala na wewe hata mara moja lakini unakurupuka from nowhere na kuanza lugha za kifedhuli.

Kuwa na adabu... mtu mwenyewe unaonesha umeingia JF juzi tu hapa! Tuliomo humu muda mrefu tunafamiana mitazamo yetu!1!
 
Hivi unaelewa maana ya majority shareholder wewe?!

Umeona huo mgawanyo wa faida kama sheria inavyotaka?

Kama hoja ni gesi kuvuna mwingine, hiyo sheria ya madini mnayomsifia Magu, kwani ni nani anayevuna hayo madini?! Ni serikali?

And FYI, kwavile zaidi ya 40 Trillion Cubic Feet za gesi zinapatikana Deep Sea, wawekezaji wakataka kujenga Gas Processing Plant huko huko baharini, lakini serikali ikagoma kwa hoja tusingeweza ku-monitor kinachoendelea huko baharini!

Jibu swali: Ina maana kwa ufahamu wako hapo, unataka kusema Sheria ya Madini ya 2018 ni bora kuliko Sheria ya Gas ya 2015?!

Inategemea 16% ya milioni si sawa na 51% ya laki…

Wote tunajua nguvu iliotumika mpaka JPM kuja na hayo makubaliano ya madini…daaah mkuu ebu naomba niachane na huu uzi maana unanitonesha vidonda vya kumpoteza JPM maana haya mazungumzo yananitia uchungu sana….mpaka sasa hv mstakabali wa madini na nchi yetu hatuelewi km tuko salama..tumepoteza mtu tuliemuamini… sasa hv nchi sijaisoma bado iko mikononi kwa nani kila siku ni maumivu tu…
 
Former British Prime Minister Tony Blair has made two official visits to Tanzania since Samia Suluhu Hassan assumed the presidency in March this year after the sudden death of her predecessor, John Magufuli.

Government officials say that the Tony Blair Institute for Global Change has been hired by President Samia to handle two of her administration’s key projects: the fight against Covid-19 and rebuilding Tanzania’s international reputation.

In July, Blair paid his first courtesy call to Tanzania where he and President Samia discussed how to combat the Covid-19 pandemic.

Blair said his institute is responsible for facilitating the testing and distribution of vaccines, and may help Tanzania to access top vaccine producers.

Credits: The Africa Report
Analipwa bei gani

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Hivi kuna ujinga zaidi huo?! Hunijui, sikuji. sijawahi kufanya mijadala na wewe hata mara moja lakini unakurupuka from nowhere na kuanza lugha za kifedhuli.

Kuwa na adabu... mtu mwenyewe unaonesha umeingia JF juzi tu hapa! Tuliomo humu muda mrefu tunafamiana mitazamo yetu!1!
Naona sindano imekuingia na kukolea. Weka mbele Tanzania achana na ushabiki wa kijinga.
 
Inategemea 16% ya milioni si sawa na 51% ya laki…

Wote tunajua nguvu iliotumika mpaka JPM kuja na hayo makubaliano ya madini…daaah mkuu ebu naomba niachane na huu uzi maana unanitonesha vidonda vya kumpoteza JPM maana haya mazungumzo yananitia uchungu sana….mpaka sasa hv mstakabali wa madini na nchi yetu hatuelewi km tuko salama..tumepoteza mtu tuliemuamini… sasa hv nchi sijaisoma bado iko mikononi kwa nani kila siku ni maumivu tu…
Yaani wewe ulimuamini Magu? Kweli maTZ ni majinga
 
Former British Prime Minister Tony Blair has made two official visits to Tanzania since Samia Suluhu Hassan assumed the presidency in March this year after the sudden death of her predecessor, John Magufuli.

Government officials say that the Tony Blair Institute for Global Change has been hired by President Samia to handle two of her administration’s key projects: the fight against Covid-19 and rebuilding Tanzania’s international reputation.

In July, Blair paid his first courtesy call to Tanzania where he and President Samia discussed how to combat the Covid-19 pandemic.

Blair said his institute is responsible for facilitating the testing and distribution of vaccines, and may help Tanzania to access top vaccine producers.

Credits: The Africa Report
Wenye kujua tulijua huyu tapeli anatafuta kazi kwa samia. Ni mambo ya ufisadi tu hakuna haja kumpa kazi huyo laana. Mama samia sasa atueleze hiyo shughuli ni bei gani maana huyo tonny blair ni agent wa ubeberu na mlanguzi mkubwa.
 
Inategemea 16% ya milioni si sawa na 51% ya laki…
Man, tuache ushabiki usio na maana!!

Yaani unataka kulinganisha utajiri au pesa inayopatikana kwenye gas na ile ya kwenye madini?!

FYI, Kampuni kubwa kuliko yote ya uchimbaji dhahabu duniani ni Barrick Gold Mine! Hawa Barrick wana migodi kila kona ya dunia, na migodi yao huko kwingine inazalisha maradufu ukilinganisha na hii ya Tanzania.

Lakini pamoja na sifa ZOOOOOTE hizo za Barrick Gold, Market Cap yake ni 👇👇👇👇👇👇
Cap.png


Yaani, endapo leo hisa ZOOOOTE za Barrick zikiuzwa kwenye masoko yote duniani, pesa itakayopatikana ndo hiyo kwenye RED BOX!

Sasa hiyo si ndo pesa ya kujenga kiwanda cha usindikaji gesi peke yake pale Lindi?!!

Man, acha kulinganisha mapato ya gas na kitu chochote kile! Madini yana thamani kubwa lakini mapato yanakuwa kidogo sana kulinganisha na gas kutokana na abundancy yake!!
Wote tunajua nguvu iliotumika mpaka JPM kuja na hayo makubaliano ya madini…daaah mkuu ebu naomba niachane na huu uzi maana unanitonesha vidonda vya kumpoteza JPM maana haya mazungumzo yananitia uchungu sana….mpaka sasa hv mstakabali wa madini na nchi yetu hatuelewi km tuko salama..tumepoteza mtu tuliemuamini… sasa hv nchi sijaisoma bado iko mikononi kwa nani kila siku ni maumivu tu…
Huwezi amini, ingawaje Wafuasi wa Magu wanaamini nina chuki na Magu, lakini ukweli ni kwamba namheshimu sana huyu mzee! Tafuta uzi kuhusu kifo chake.... HUWEZI kukuta comment yangu coz' I was shocked kiasi sikuweza kuandika chochote!!

Na kingine ambacho watu hawakifahamu, 2015 nilikuwa upande wa JPM!!

Nilikuja kutofautiana na JPM pale alipoanza kuminya upinzani, na jinsi ambavyo ali-handle sekta binafsi!! Kwahiyo issue yangu na JPM is all about mitizamo lakini wengine wanachukulia too personal!!

Hata hivyo, kwa muda mrefu niliamini hakuna Mwanasiasa Msanii kama Kikwete lakini JPM ni msanii maradufu kuliko Kikwete! Ajabu, JPM ana nyota ya kuaminika sana, na anaaminika sana kwa sababu serikali yake ilijaa majigambo, na Watanzania sio watu wa kufuatilia mambo!!

They'll swallow everything they're being told!!

Anyway, pole na maumivu... na kweli tuishie hapa!!
 
Sheria zipo tokea Mkapa zimetusaidia nini watanzania…unakimbilia sheria sheria
Hapa umeonesha ni kama una upeo mdogo sana wa kujadili haya mambo...

Kwani wanavyolalamika tunaibiwa, chanzo cha kuibiwa ni nini kama sio mikataba mibovu?

Chanzo cha mikataba mibovu ni nini kama sio sheria mbovu?

Huyo JPM unayemsifia, amefanya nini kama sio kubadilisha sheria?

Naona huu mjadala uishe manake I can't discuss serious issues like high school kid, ambae hata yeye sidhani kama anaweza kuona masuala ya sheria halina maana yoyote kwenye haya mambo!!
 
Mkuu Ndalilo,

Nilisahau jambo moja la msingi kabisa!!

Umedai, hata nikushawishi vipi KATU, huwezi kukubali kwamba JK alikuwa analinda maliasili za taifa kwa maslahi ya taifa! Nami nikakujibu kwamba HAKUNA popote niliposema JK alikuwa analinda maliasili zetu...

Lakini pamoja na hayo, ukataja marais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania ni Nyerere, Mkapa, na Magufuli. Aidha, marais wabovu kabisa kuwahi kutokea ni Mwinyi, Kikwete, na bila shaka kwenye orodha hii utamwigiza Samia!!

Huyo JPM tumwache manake tumemjadili sana!!! Hata hivyo, hebu nijuze jambo moja! Hivi huu ubora umeipima kwa kutumia vigezo gani? Unaweza akueleza kinaga ubaga?!

Nauliza hivyo coz', last time I checked, kashfa nyingi za kutisha nchi hii zimetokea wakati wa Mkapa...

1. Kagoda Scandal... imetokea wakati wa Mkapa
2. Deep Green... imetokea wakati wa Mkapa
3. Meremeta scandal... imetokea wakati wa Mkapa!
4. EPA Scandal... imetokea wakati wa Mkapa!
5. Huu mjadala umepamba moto kwa sababu ya Tony Blair aliyehusika kutuuzia radar kwa bei ya kutisha!! Lakini tunajisahaulisha kwamba, hiyo radar na yenyewe (Radar Scandal) iltokea wakati wa Mkapa
6. Msingi wa mikataba mibovu ya madini, umetokea wakati wa Mkapa!
7. Uuzaji holela wa mashirika ya umma (ule haukuwa ubinafsishaji), na wenyewe umetokea wakati wa Mkapa!
8. IPTL ingawaje ilianzia wakati wa Mwinyi, lakini aliyekuja kuuvuruga mkataba wa IPTL hadi kulazimika kuwapa miaka 20, tena alifanya hivyo kabla mkataba wa awali hujaisha... nalo ni wakati wa Mkapa!
9. Roho ya bandari ni Container Terminal. Aliyebinafsisha Container Terminal kwa TICTS, hapo pia ni Mkapa! Na kama ambavyo alifanya kwa IPTL... kwa mara ya kwanza aliwapa mkataba wa miaka 10, lakini alipoona anakaribia kuondoka madarani... akawaongezea miaka mingine 10! And FYI, TICTS wali-break even in less than 3 years!

Again, ulipanga ubora wako kwa kutumia vigezo gani?

Halafu ulihoji ikiwa hivi sasa ndo rasmi namtetea Kikwete!!! Man, mbona unachukulia haya mambo too personal?! Nimtetee KIkwete ili iweje?!

Watu mnasema GAS YOTE IMEUZWA, kwa sababu ndivyo Magufuli alivyowaambia... mimi nawaambia habari za kugesi kuuzwa hazina ukweli wowote!!

Mnasema sheria yenyewe ya gas ni mbovu kweli kweli ndo maana JPM kaibadilisha ... mimi nikawataka muweke hiyo sheria mbovu au hiyo sheria mpya ya JPM, mara zote naongea with confidence kwa sababu najua hata sheria zenyewe hamjawahi hata hkuzitupia macho let alone kuzisoma!! Pamoja na hayo, sheria hamziweki!

Sasa kama huko ni kumtetea na/au kumsafisha JK, basi sawa, ndo namsafisha rasmi lakini busara iendelee kujikita kwenye hoja!!

Na ningekuwa hapa kutetea watu, uliposema suala la Riziwani kukamatwa na dawa za kulevya, basi ningemtetea kwa kukuwekea link kabisa ya wapi habari hizo zilianzia siku ya September 07,2012. Na kwavile aliyeanzisha alikuwa ni mwana-JF maarufu sana kipindi kile, habari zikatoka kwenye source, zihamia JF!

Pamoja na kujua source ya habari yenyewe lakini nimeamua kupuuza kwa sababu sipo hapa kutetea yeyote bali nipo hapa kueleza mambo yenye maslahi kwa taifa!!Maelezo yangu yamejikita kwenye issues za gas!

Na kwa wanaonifuatilia, mimi ni mfuasi wa masuala ya Uchumi na Uwekezaji, kwahiyo hata hayo mambo ya gesi nimeyajadili sana, tena sana na nitaendelea kuyajadili!!
 
Hapa umeonesha ni kama una upeo mdogo sana wa kujadili haya mambo...

Kwani wanavyolalamika tunaibiwa, chanzo cha kuibiwa ni nini kama sio mikataba mibovu?

Chanzo cha mikataba mibovu ni nini kama sio sheria mbovu?

Huyo JPM unayemsifia, amefanya nini kama sio kubadilisha sheria?

Naona huu mjadala uishe manake I can't discuss serious issues like high school kid, ambae hata yeye sidhani kama anaweza kuona masuala ya sheria halina maana yoyote kwenye haya mambo!!

Kwahio umaskini wa Tanzania mchawi ni sheria…hivi mkuu have you ever had a real job ama tokea umalize chuo uko kwenye payroll za wanasiasa
 
CCM ni wajinga sana Sasa so Bora angeajiri ma economist wakatupa way forward kuhusu uchumi na ajira? Ujinga ni mzigo
 
Former British Prime Minister Tony Blair has made two official visits to Tanzania since Samia Suluhu Hassan assumed the presidency in March this year after the sudden death of her predecessor, John Magufuli.

Government officials say that the Tony Blair Institute for Global Change has been hired by President Samia to handle two of her administration’s key projects: the fight against Covid-19 and rebuilding Tanzania’s international reputation.

In July, Blair paid his first courtesy call to Tanzania where he and President Samia discussed how to combat the Covid-19 pandemic.

Blair said his institute is responsible for facilitating the testing and distribution of vaccines, and may help Tanzania to access top vaccine producers.

Credits: The Africa Report
The devil has been invited to crawl into the house with excuses to swallow the disturbing mice in the country (COVID-19 & Rebuild Tanzania's damaged reputation in the international profile).

This must be the eighth wonder of the world to be documented for future remembrance.


If this is true it is evident that the head of state has decided to do whatever is being personally felt without consultation nor reviewing the citizens' reactions.

How dare are you hiring a foreign prominent ex-premier to streamline your own country and who will pay for the cost? Is it the Tanzanians projected to bear the burden and why?

Someone is driving the nation to hell
 
Kweli Jamii Forum ina wapumbavu wengi sana.

Hawa sijui ni waTanzania au ndo wale waliokwisha chukua uraia wa nchi zingine na hawana la maana sana wanalowaza kuhusu Tanzania.

Yaani siamini kuona eti kuna waTanzania wanashingilia upuuzi kama huu wa kumuajiri Tony Blair kutengeneza image ya Tanzania.

Dah ... kweli kazi ya kumkomboa muafrika kifikra ni ngumu sana. Ndo maana Magufuli kuna watu alikuwa anawadunda tu kutokana na upuuzi ambao alishauona umetamalaki vichwani mwao.

Mjinga unaweza ukamuilimisha akafuta ujinga wake. Ila Mpuuzi hakuna namna ya kumsaidia.
 
Habarini wandugu natumaini mu wazima wa afya.

Nilikaa nikajiuliza kuhusu hili la Raisi Samia kumteua waziri mkuu was zamani wa Uingereza Mr Blair kuwa mshauri wake kuhusiana na masuala ya gojwa la korona.

1. Je, Rais ni kweli amekosa kabisa washauri wa kitanzania au anawasiwasi na uwezo? Elimu? Au uwezo wao?

2. Je, Mr Blair Ni kweli ana utaalamu wa afya (professionalism)

3. Je, ni Jambo gani haswa linalomfanya awe na ulazima wakumteua Blair?

Samahanini kwa ntakaowaudhi kwakujiuliza maswali haya lakini kiukweli nmekuwa na mkanganyiko Sana kichwani mwangu asanteni.
 
Bright idear Connection na trust mserereko fedha za covid wadau zenye mashariti nafuu.
 
Back
Top Bottom