Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,080
- 8,219
Former British Prime Minister Tony Blair has made two official visits to Tanzania since Samia Suluhu Hassan assumed the presidency in March this year after the sudden death of her predecessor, John Magufuli.
Government officials say that the Tony Blair Institute for Global Change has been hired by President Samia to handle two of her administration’s key projects: the fight against Covid-19 and rebuilding Tanzania’s international reputation.
In July, Blair paid his first courtesy call to Tanzania where he and President Samia discussed how to combat the Covid-19 pandemic.
Blair said his institute is responsible for facilitating the testing and distribution of vaccines, and may help Tanzania to access top vaccine producers.
Credits: The Africa Report
============
Waziri mkuu wa zamani wa Uingereza, Tony Blair amefanya ziara rasmi mara mbili nchini Tanzania tangu Rais Samia achukue madaraka ya Urais mwezi Machi mwaka huu baada ya kifo cha ghafla cha mtangulizi wake, John Magufuli.
Maafisa wa Serikali wamesema Taasisi ya Tony Blair ya 'Global Change' imeajiriwa na Rais Samia kusimamia miradi miwili muhimu katika utawala wake; mapambano dhidi ya Covid-19 na kujenga taswira ya Tanzania kimataifa.
Blair amesema taasisi yake ina jukumu la kufanikisha majaribio na usambazaji wa chanjo, pia inaweza kuisaidia Tanzania kuwapata wazalishaji wakubwa wa chanjo.
Government officials say that the Tony Blair Institute for Global Change has been hired by President Samia to handle two of her administration’s key projects: the fight against Covid-19 and rebuilding Tanzania’s international reputation.
In July, Blair paid his first courtesy call to Tanzania where he and President Samia discussed how to combat the Covid-19 pandemic.
Blair said his institute is responsible for facilitating the testing and distribution of vaccines, and may help Tanzania to access top vaccine producers.
Credits: The Africa Report
============
Waziri mkuu wa zamani wa Uingereza, Tony Blair amefanya ziara rasmi mara mbili nchini Tanzania tangu Rais Samia achukue madaraka ya Urais mwezi Machi mwaka huu baada ya kifo cha ghafla cha mtangulizi wake, John Magufuli.
Maafisa wa Serikali wamesema Taasisi ya Tony Blair ya 'Global Change' imeajiriwa na Rais Samia kusimamia miradi miwili muhimu katika utawala wake; mapambano dhidi ya Covid-19 na kujenga taswira ya Tanzania kimataifa.
Blair amesema taasisi yake ina jukumu la kufanikisha majaribio na usambazaji wa chanjo, pia inaweza kuisaidia Tanzania kuwapata wazalishaji wakubwa wa chanjo.