SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
Pamoja na kumharibu lakini hawezi fanya huku (Tz) kuwe kama kule (Rwanda)....kule kuna wahutu na watusi...huku kuna WATANZANIA
Huku kuna wana ccm na wapinzani hiyo mbegu ya chuki iliyopandwa ikija kukomaa tutashuhudia maafa makubwa mno, Mungu epushia mbali tusifike huko.