nyamchele JF-Expert Member May 28, 2014 1,309 1,008 May 19, 2015 #1 Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
autorun255 JF-Expert Member Sep 8, 2013 1,105 363 May 19, 2015 #2 Marine one ina Mwamvuli mmoja tu!!!! Nimependa obama kuwajali staff wake wasilowe na mvua.
GIUSEPPE JF-Expert Member Dec 31, 2011 5,239 6,196 May 19, 2015 #4 dawa2015 said: Nyalandu ataiweza hiyo...... Click to expand... Nyalandu wala hatahitaji mwamvuli, yeye atawabeba wote kwa mikono yake mwenyewe.
dawa2015 said: Nyalandu ataiweza hiyo...... Click to expand... Nyalandu wala hatahitaji mwamvuli, yeye atawabeba wote kwa mikono yake mwenyewe.
Sibonike JF-Expert Member Dec 23, 2010 17,277 17,983 May 19, 2015 #5 dawa2015 said: Nyalandu ataiweza hiyo...... Click to expand... Yeye angewabeba kabisa
Ndallo JF-Expert Member Oct 1, 2010 7,619 4,292 May 19, 2015 #6 Yaani Nyalandu katika hii naona ndio alizindua kampeni yake ya Uraisi!