Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
- Thread starter
- #21
Waafrica tunabaki tukiwaza jinsi ya kufanya wizi warasilimali zetu wenyewe badala ya kukaa na familia zetu
Wakati waoto wanakunywa chai isiyo na sukari kwa kitumbua, baba anakunywa supu ya makongoro ya kitimoto.