Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
historia haifutiki
Sio fresh hata kama kuna historia. Mtakosesha watu wachumba.....ohoooo!
Hmm wewe nawe ni wa Mlimani?
Hili nitaliacha lipite kwa siku ya leo, sitajibu :lol:
historia haifutiki
Hmm wewe nawe ni wa Mlimani?
Sio fresh hata kama kuna historia. Mtakosesha watu wachumba.....ohoooo!
Hili nitaliacha lipite kwa siku ya leo, sitajibu :lol:
Dada'ake Abuu si anaitwa Madam?
1. haya tutakuwa tuna-pm
2. ila nimeshakujibia swali
Gaijin hataki tuwataje majina
usifanye mchezo aisee 'import' inaposema iliolewa na marekani na sio wewe 'importer' halafu wala haikuachi na kuifukuza au kuilazimisha huwezi maana nchi za watu zina zero tolerance ya mfumo dume wa aina hiyo - ni kulia na kusaga meno tu !
Gaijin hataki tuwataje majina
Hapo itakuwa bomba sana....
Na ujumbe ufike kwa SteveDii pia.....juzi nilimuona nae alinogesha mazungumzo hayo
NN, ila majina yao yamo humu hata la Gaijin lipo: Mlimani Alumni Organization
I hope Gaijin sio kale kamdada kalikoanzisha hiyo tovuti. Sijui kakoje tu kale.
Hahahaha .....we Ngabu kweli si mzima. :lol:
I can bet my life wewe sio kale kamdada ingawa nahisi lazima nako kapo humu.
I can bet my life wewe sio kale kamdada ingawa nahisi lazima nako kapo humu.
acha ubaguzi, huyo mdada yuko makini sana tena alifaulu kuja shule yetu
Sasa ubaguzi gani hapo? Mbona umetumia nguvu nyingi kutetea?
NN ana type zake
Dadake na Abuu Maghimbi...sio Salma...yule mwingine mrefu mrefu mweupe hivi....
Na Malaika Che Mponda pia.
Gaijin, kiashiria/kithibitisho cha kwanza cha ubaguzi hicho hapo chini:
acha ubaguzi, huyo mdada yuko makini sana tena alifaulu kuja shule yetu