President Magufuli, Ethiopia Diplomat, Ghana First Lady Win Africa Prestigious Awards

Si mara moja zawadi za aina hii za mitandaoni kutangazwa lakini zikaonekana feki. Nakumbuka TBC walivyotangaza fake news ya Trump kumwaga sifa kedekede, kisha zikaja zawadi feki ambazo Yericko Nyerere alionyesha kwa uzuri kabisa jinsi zilivyo fake
 
Ndugu nilichokielewa sio 1.5 t imekosa majibu jiulize ukaguzi huu limitation take ilkuwa ni nini maana yeye alkuwa anaangalia badgeti kwa iyo ela iliyotumika nje ya badget haikuwa considered mf.ela ya kununulia ndege, madeni yaliyolipwa ambayo hayakuwa kwenye badgeti Kwa mwaka huu
Mkuu Nahisi umekosea kuniquote..... Sikuongelea chochote kuhusu ripoti ya CAG
 
Naomba Niseme Ukweli ila msinichukie tu, binafsi nimefanya research mtandaoni ikiwemo katika mtandao wa hao mnaodai wametoa hiyo tuzo waliopokea tuzo wote ni hawa chini akiwemo first lady wa ghana, na diplomat wa Ethiopia. Huyu ndugu yetu Baba Mwenye Nyumba hayumo, This is way too far FAKE NEWS in deed...labda kama Monalisa alifanyiwa Mock (Mzaha) na hao waigizaji wenzake huko nje alipokwenda, but nah...bado sijakubali sababu hata waliotoa hawajamuweka. Una uhuru wa Kukataa kama una mawazo tofauti ila utembelee hiyo tovuti THE AFRICAN PRESTIGIOUS AWARDS kwa kujiridhisha kwako.
apa4.PNG
apa3.PNG
apa2.PNG

apa1.PNG
apa2.PNG
 
Na hawa ndio wote waliokuwa nominated, kuna waliopata na kukosa lakini Baba mwenye Nyumba hapa pia hayumo...Nawasilisha kwa ushahidi wa picha, kwa mnaondelea kuamini kusadikika jengeni hoja hapa...
Capture.PNG
 

Source :jamiiforums
Msanii wa filamu nchini, Yvonne Cherry maarufu kama Monalisa akipokea tuzo ya Uongozi Bora kwa niaba ya Rais John Pombe Magufuli kwenye tuzo za 'Africa Prestigious Award' jijini Accra Ghana
GHANA: Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli ametuzwa tuzo ya Uongozi Bora katika tuzo za 'Africa Prestigious Award' kwa mwaka 2017/18
-
Utoaji wa tuzo hiyo ulifanyika Jumamosi Aprili 14, 2018 jijini Accra, Ghana
-
Tuzo hiyo inawatambua Waafrika waliofanikiwa kwa kiasi kikubwa katika uongozi wao na Viongozi bora wajao katika bara la Afrika na viongozi waliofanya kazi kubwa kubadili maisha ya wananchi kwa kukuza uchumi
 
hapa kungekuwa kuna kupiga kura na tungetangaziwa 80% ya wa tz wangempiga kura ya hapana kwa rahisi wao
 
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli ametuzwa tuzo ya Uongozi Bora katika tuzo za 'Africa Prestigious Award' kwa mwaka 2017/18

Utoaji wa tuzo hiyo ulifanyika Jumamosi Aprili 14, 2018 jijini Accra, Ghana.

Tuzo hiyo inawatambua Waafrika waliofanikiwa kwa kiasi kikubwa katika uongozi wao na Viongozi bora wajao katika bara la Afrika na viongozi waliofanya kazi kubwa kubadili maisha ya wananchi kwa kukuza uchumi

IMG_20180416_140703_735.jpg
 
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli ametuzwa tuzo ya Uongozi Bora katika tuzo za 'Africa Prestigious Award' kwa mwaka 2017/18

Utoaji wa tuzo hiyo ulifanyika Jumamosi Aprili 14, 2018 jijini Accra, Ghana.

Tuzo hiyo inawatambua Waafrika waliofanikiwa kwa kiasi kikubwa katika uongozi wao na Viongozi bora wajao katika bara la Afrika na viongozi waliofanya kazi kubwa kubadili maisha ya wananchi kwa kukuza uchumi

View attachment 746322
Kwa Africa it is OK, hata Amin Idd aliwahi kupata tuzo na kuwa mwenyekiti wa OAU (noe AU). It is no wonder kumpa wa kwetu!
 
Pamoja na upotoshaji wa wale jamaa zetu wakishirikiana na genge la Mbowe bado rais wetu kipenzi cha wanyonge anaendelea kung'aa.Duu oneni aibu dunia inawashangaa!!!
 
Jamani kabla hamjaanza kusifia hebu angalieni vizuri hii video ...

Hi inawezekana kabisa imechukuliwa chumbani tu kwa sababi kina meza mbili tu za wageni hakuna audience hapo ...

Hi kitu imetengenezwa jamani tumefikia huko sasa ... Yaani hoi ni sawa na kuficha mimba afta miezi 9 itajulikana ...
 
Sina haja ya kueleza, kila kitu kinajieleza hapo. Hongera sana Rais wetu mpendwa JPM. Africa inakutambua na Dunia pia inakutambua.



---------------
Tanzanian President John Magufuli has won in the maiden edition of the 2017/18 Africa Prestigious Award on the category of “Excellency in Leadership.”

The announcement was revealed at a gala night award ceremony held on Saturday 14th April, 2018 at the Accra’s A.H Hotel, 43 Kinshasa Crescent, East Legon.

Other categories included achievements in music, film media, technology and business sectors where several high profile artists, political and business people across Africa won in several categories.

“It is a great honour for the United Republic of Tanzania. President Magufuli is on his third year in office and the people of Tanzania are so happy and excited about his Presidency. His excellent service and hard work have led into an economic revolution in a positive way,” said a representative from Tanzania who received the award on behalf of the President.


The excellence in leadership award recognizes an Africans who are “Super Achievers, Achievers and Future Leaders On the Continent” and who are doing or have done austerity measures in transforming the lives of the people or sectors they lead by boosting economy, innovation as well as fight against corruption. Voting was open for viewers all over the Continent and beyond.

The event included 375 nominees in diverse African sectors, 24 Prestigious Awards and 37 Honorary Awards. Under the Honorary category some other top notch Africans including Ministers, Ambassadors, First Ladies and business moguls have also won.

More details and winners on the awards will be posted on: www.theapa.eadgoc.com or follow the event official hash tag [HASHTAG]#apawards2017[/HASHTAG]

Source: President Magufuli, Ethiopia Diplomat, Ghana First Lady Win Africa Prestigious Awards

Yan lijitu limejitengenezea tuzo zake lenyewe na kuzidhamini....halafu linashindanishwa na akina Monalisa na Ray Kigosi!
 
*Breaking News kutoka Accra, Ghana*

Rais Magufuli amewabwaga viongozi kadhaa wa Afrika na kushinda tuzo ya "Excellence in Leadership."

Viongozi wengine walioshinda tuzo za heshima yumo Mke wa Rais wa Ghana, Mabalozi na wasanii.

Wapo wasanii wawili pia wa Tanzania wamepata tuzo akiwepo Monalisa.

Hongera Rais wetu.Dunia na Afrika inatambua kazi yako njema.

Taarifa ya kina hii hapa:

President Magufuli, Ethiopia Diplomat, Ghana First Lady Win Africa Prestigious Awards
Hahaha, anashindanishwa na akina Ray Kigosi na Monalisa? Aisee mnapenda sana kumdhalilisha jamaa yenu...na lenyewe likiambiwa limeshinda linachekelea tu!
 
mbona huu ni ujinga tu! Watu wamekusanyana kwa ajili ya dinner, shit...ati award!
 
Back
Top Bottom