Kama watanzania wanapenda kulalamika kila siku na kuacha kupinga huyu kiongozi wa nchi za nje basi kaeni nyumbani na ndivyo atawafanyia hivyo hivyo kila siku. Anatumia pesa za nchi, unafikiri analipia za kwake na familia yake zinatoka TRA. Wanashuhurikia swala la Ivory Coast lisilo na umuhimu sana kuliko la Libya. Hii ndio understand capacity ya Kikwete na AU. Poor ideology.