President George Bush to visit Ethiopia, Tanzania and Zambia

Hapa naona mambo ni motomoto maana haieleweki anakuja kufanya nini
ila hawezi kuja bure tu kuna kitu anataka kufanya utatujuza hapa jamvini

Waswahili bwana, mbona vyombo vya habari vimetangaza anakuja kufanya nini
 
pale ocen road ni njanja ya nyani tu, anakuja kusign mkataba wa kununua kisiwa cha kigamboni.
 
Uhusiano wa bush & kikwete ni zaidi ya uujuavyo!
One day yote tutayajua, kama tunavyojua sauv kuwa Richmond ilikuwa ya JK mwenyewe, JK is a joker.
 
mwache aje kuwekeza kwenye umeme wa nyukilia symbion inatuumiza sana, lakini vyandarua vyake tunavulia samaki maana mbu wa hapa wajanja sana wanapita kama hakuna kitu
 
Unajua vile vyandaua vilitengenezwa kwa standard za europe,si unajua wale mbu wa kule wana afya?sasa wa kwetu huku vimbaumbau, wanapenya tu kwenye yale matundu.Ila uzuri wa vile vyandarua ,vinavua dagaa halafu havichoki!
 
wakuu!!
leo rais mstaafu wa marekani anawasili Tanzania. lakini cha kushangaza ziara hii imekuwa ni siri mno hakuna chombo cha habari hata kimoja kilicho tangaza hii ziara ya huyu muheshimiwa.
mimi ni mwanafunzi wa Muhimbili kwa sasa niko ocean road kwa clinical studies na inasemekana atakuja kutembelea leo hospitali ya ocean road.
kinacho nisikitisha ni kwamba hapa ocean road wagonjwa huwa wanalala nje kutokana na ukosefu wa vitanda na maanisha hata wodi hazitoshi. leo hakuna mgonjwa nje sasa sielewi wagonjwa wamepelekwa wapi. nachoona leo ni bendera za Tanzania tu na mauwa ndo yameshamiri huku ocean road.
je nini kilichomleta huyu rais mstaafu wa usa? au anekuja kuangalua maedeleo ya freemasons na ile miradi yake ya kigamboni?

naomba niwasilishe mwenye kujua zaidi kuhusu ziara ya siri ya huyu mueshimiwa atujuze.

Bora kama hawajapaka rangi kuta za hospital wagonjwa wanaweza umia vifua.
Alafu hajawekeza kweli huyu mkoloni mweupe?
 
Ujio wa bush mbona umetangazwa toka mwezi uliopita hakuna siri mkuu, jamaa anakuja kwenye miradi yake ikiwemo migodi
 
Mr Bush is in Tanzania today where he is part of celebrations commemorating World Aids Day. He will then travel to Zambia tomorrow and later Ethiopia to attend the ICASA HIV/Aids Conference. The former US president is also accompanied by representatives from some US pharmaceutical companies who have remedies for breast and cervical cancers; that's is a motive to visit ORCI.
 
[h=3]The Bush Center announces trip of President & Mrs. Bush to Tanzania, Zambia & Ethiopia[/h] Tuesday, November 22nd, 2011


Dallas, TX — The George W. Bush Presidential Center today announced that President and Mrs. Bush will travel to Tanzania, Zambia and Ethiopia from December 1-5, 2011.


The trip demonstrates President and Mrs. Bush’s continued commitment to the people of Africa through the work of the George W. Bush Institute’s (GWBI) Global Health program. The trip will also highlight the Pink Ribbon Red Ribbon® initiative, an innovative partnership between GWBI, the U.S. Department of State President’s Emergency Plan for AIDS Relief (PEPFAR), Susan G. Komen for the Cure®, the Joint United Nations Programme on HIV/AIDS (UNAIDS), and other private partners. The Pink Ribbon Red Ribbon initiative leverages public and private investments and existing health infrastructures to combat two of the leading causes of cancer death among women in Sub-Saharan Africa and Latin America – cervical and breast cancer.


In Africa, President and Mrs. Bush will emphasize the importance of the continued fight against HIV/AIDS, malaria and other diseases, and will celebrate the remarkable progress made over the past decade to address the challenges of disease, poverty and security. In addition, their visit will spotlight new approaches to prevent cancer in women through a major announcement by Pink Ribbon Red Ribbon partners.


Last September, Secretary of State Hillary Rodham Clinton, Ambassador Nancy Brinker, Ambassador Eric Goosby and Mr. Michel Sidibe joined President and Mrs. Bush to announce Pink Ribbon Red Ribbon in Washington, D.C.


In 2001, President Bush announced the first commitment of his Administration to fight the spread of preventable disease in Africa. A decade later, 4.7 million people receive anti-retrovirals through PEPFAR and Global Fund, bringing the total to 6.6 million people in developing countries who receive life saving AIDS medications thanks to the leadership of private organizations, national governments, and the international community.


This will be the first week long trip by President and Mrs. Bush to the African continent since their time in the White House. While in office, President and Mrs. Bush traveled jointly to Africa in 2003 and 2008, and Mrs. Bush traveled separately there in 2005, 2006 and 2007.


Source: The Bush Center
 
Uhusiano wa bush & kikwete ni zaidi ya uujuavyo!
One day yote tutayajua, kama tunavyojua sauv kuwa Richmond ilikuwa ya JK mwenyewe, JK is a joker.

ndio yale yale ya hatukukutana barabarani, kaaazi ipo, kweli TZ shamba la bibi, tutaishia kuchekacheka tu
 
Mtakoma kupenda vya bure. Mpaka chandarua iwe kwa hisani ya watu wa marekani?[/QUOTE]

Usishangae siku chache zijazo tukianza kusikia MTOTO HUYU KAZALIWA KWA HISANI YA WATU WA AMERIKA!!!!

Tunakoelekea pabaya maana sasa hata vyoo unakuta kuna label;CHOO HIKI KIMEJENGWA KWA MSAADA WA WATU WA AMERIKA...Jamani, hata misalani??? Wacha tuu Kameruni atutamani masabari yetu!!!
 
wakuu!!
leo rais mstaafu wa marekani anawasili Tanzania. lakini cha kushangaza ziara hii imekuwa ni siri mno hakuna chombo cha habari hata kimoja kilicho tangaza hii ziara ya huyu muheshimiwa.
mimi ni mwanafunzi wa Muhimbili kwa sasa niko ocean road kwa clinical studies na inasemekana atakuja kutembelea leo hospitali ya ocean road.
kinacho nisikitisha ni kwamba hapa ocean road wagonjwa huwa wanalala nje kutokana na ukosefu wa vitanda na maanisha hata wodi hazitoshi. leo hakuna mgonjwa nje sasa sielewi wagonjwa wamepelekwa wapi. nachoona leo ni bendera za Tanzania tu na mauwa ndo yameshamiri huku ocean road.
je nini kilichomleta huyu rais mstaafu wa usa? au anekuja kuangalua maedeleo ya freemasons na ile miradi yake ya kigamboni?

naomba niwasilishe mwenye kujua zaidi kuhusu ziara ya siri ya huyu mueshimiwa atujuze.

Kuna wakati mwaka 2009 wakati wa mkutano wa MWIA, Medical Women International Association ambapo MEWATA walikuwa wenyeji wa mkutano huo uliofanyika Kunduchi Beach hotel, Rais JK alikuwa mgeni rasmi na wanawake madaktari walieleza ukubwa wa saratani ya shingo ya kizazi ambapo ocean road kuna kitengo cha uchunguzi. Chanjo imeingia sokoni, bei kubwa na mkuu wa kaya akaahidi itapatikana kwa watoto wa kitanzania. Marekani waliahidi kumsaidia, huenda ni sababu ya huyo Bush kuja hapo ORCI. Ila kuhamisha wagonjwa ni ujinga.
 
Hahahahahaaaa!!
Mbu wa ulaya wapo obese...yani hata kuruka hawawezi, wanatambaa tu! Full afya.
Unajua vile vyandaua vilitengenezwa kwa standard za europe,si unajua wale mbu wa kule wana afya?sasa wa kwetu huku vimbaumbau, wanapenya tu kwenye yale matundu.Ila uzuri wa vile vyandarua ,vinavua dagaa halafu havichoki!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom