Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,273
- 17,096
Anawaharibia sana wanawake wenzie wa kiafrika kuja kuwa Rais.........sijui kwa nini hajaenda Liberia kujifunza namna njema ya kuwa Rais mwanamke wa kiafrika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika comments za hawa jamaa nimeona matusi ambayo jamaa mmoja kachangia kuwa Tanzania ni taifa la wajinga kwa vile ni nchi pekee yenye wingi wa madini lakini inaongoza kwa umasikini.
Kwa kweli nimeumia sana kwa ukweli huo.Hivi tutaendelea kutukanwa na kebehi kibao kutoka kwa mataifa hata dhaifu kama malawi mpaka lini?
Kwa nini hatuchukui hatua kwa wanaotusababishia tudharaulike duniani kwa sababu ya wao kubebana?
Kwa kweli kama mtu bado anaweza kusimama wima na kutetea utawala huu na wakati huo yeye si sehemu ya utawala basi huyo anamapungufu akilini. Hatuwezi kuendelea kutukanwa katika ukweli tunaoweza kuubadilisha.
No need for war or killing these days, we can sort out our issues diplomatically or legally, if this fails we would need some serious hackers to teach them a lesson or two. if we could hack and paralyses their internet for a day or two, or do something like that in a minor scale, i believe they will come to their senses.ICJ ndio mwamuzi wa suala hili. Tulipeleke mahakamani haraka iwezekanavyo.Hatutaki vita sisi wote ni black race. Tusiuwane sisi ni ndugu moja.Pan-africanism itumiwe katika maeneo kama haya na si vita.
Anawaharibia sana wanawake wenzie wa kiafrika kuja kuwa Rais.........sijui kwa nini hajaenda Liberia kujifunza namna njema ya kuwa Rais mwanamke wa kiafrika
Hii ishu mimi napata picha tofauti kabisa kwa mwendo wa dunia jinsi unavokwenda.Huyu mama kaingia na vishindo na nadhani tayari amepambwa tokea hajakaa urais.Na watu wanaompamba itakuwa hukohuko kwa wazungu.Kuna dalili nyingi zinaonyesha kama anauhusiano wa karibu sana na hawa jamaa na wanampa mpaka nguvu za kijeshi sasa hivi.Hamuoni kama kuna kadili hapa?Sasa hivi ukiangalia kwa makini kila sehemu kuna mgogoro au vita.Kwanini isizuke miaka yoote ikazushwa sasa hivi.Jamani wazungu wamechacha sana wananchi wao hawana kazi makampuni mengi yanafungwa ama kuhamia China.Economy yote sasa hivi ameichukua Mchina mpaka Marekani hawezi hata kumlipa Mchina deni la trilioni za dola.Hawa jamaa hata kama wanaurafiki hapa na wanachota madini lakini kubadilika ni rahisi sana.Hawanaga urafiki wa kudumu hata uwape kisiwa kizima lakini hawaridhiki.Sasa nadhani kunakila sababu ya watanzania kuungana kwa hili suala ila tumuombe mungu yaishe bila vita lakini sio rahisi kama mzungu yupo katikati vita lazima itakuwepo.Kwani ni moja ya kuwauzia silaha na kuanza kuuwana waafrika kwa waafrika.Biashara yao kubwa hivi sasa ni silaha ndio iliyobaki kampuni nyengine nyingi zinakufa mpaka za magari.
Kaka,inaonekana bado haujajua vijana kule kusini wanafanya nini kwa sasa. Tuache ushabiki wa kisiasa,tufanye kazi kwa bidii na tuwe wamoja ki fikra na kimatendo,kwani likimegwa eneo lolote halimegwi eneo la CCM,CHADEMA,CUF au NCCR,ni eneo la Tanzania!. Hata hizo nchi za magharibi mnazoziogopa huwa zinaangalia kwanza ni wapi pa kutingisha. Kwa nini siku zote wanaingia na kutoka Goma lakini hawaji Mwanza au Shinyanga ilhali nako kuna madini!. Tuwape moyo vijana wetu wa vyombo vya ulinzi na rest assured,everything will gonna be alright for Tanzania!
Kila lakheri ndugu yangu kama wewe una advocate vita. Vita ya Uganda hadi leo makovu yetu hayajapona wewe unafanya ushabiki wa vita au unafikili vita ni mchezo. Halafu lazima ujue Dunia hii ina super nations, Nchi yetu si kubwa kiasi hicho.Tukianza vita kuna baadhi ya viongozi wataanza kutafuta namna ya kuiba.