zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
kama Nimekosea hapo mtanisahihisha.
Rais Barack Obama,amekaa ikulu kwake miaka 4,Amesafiri safari 32,
Hayati Baba wa taifa,amekaa ikulu miaka 25,amesafiri safari 68.
Rais Wa Sasa wa Tz(Dk Jk),ikulu miaka 7,safari 392..
Je hizo safari huwa zinatija kwa Taifa?
Rais Barack Obama,amekaa ikulu kwake miaka 4,Amesafiri safari 32,
Hayati Baba wa taifa,amekaa ikulu miaka 25,amesafiri safari 68.
Rais Wa Sasa wa Tz(Dk Jk),ikulu miaka 7,safari 392..
Je hizo safari huwa zinatija kwa Taifa?