Pres. Kikwete to the US

Jasusi

JF-Expert Member
May 5, 2006
11,551
5,434
Kale ka"inzi" ka Mwkjj kamenipitia hapa na kunitonya kuwa Muungwana anaingia Washington DC jumatano ijayo kwa state visit ya George Kichaka.
Naona timing itakuwa problematic kwa sababu camera zote za TV zitakuwa Denver kwenye convention ya Democrats. Stay tuned
 
Jasusi,
Kutakuwa na bash huko wakati JK yuko mjini maana nataka kuingia.. Nataka sana kuonana uso kwa uso na Muungwana na kama ikiwezekana namwangushia kitu cha Rev. Kishoka....
 
Jasusi,
Kutakuwa na bash huko wakati JK yuko mjini maana nataka kuingia.. Nataka sana kuonana uso kwa uso na Muungwana na kama ikiwezekana namwangushia kitu cha Rev. Kishoka....


.......yeah Bob,

ile kitu "Marshall Plan" imetulia....yaani hivi sasa nairudia tena kuisoma i.e baadhi ya vipengele kabla sijatoa maoni yangu pia............
 
Jasusi,
Kutakuwa na bash huko wakati JK yuko mjini maana nataka kuingia.. Nataka sana kuonana uso kwa uso na Muungwana na kama ikiwezekana namwangushia kitu cha Rev. Kishoka....

Mkandara,
Nitaulizia ubalozini and I will get back to you. Nitumie simu yako kwenye PM
 
Mkandara,

Mpe salam zake kwamba kuna Pundit anaogopa kutapika in public akimuona.I will never endeavor to see this joker in my life.I do not wish to give him that grace.
 
Kuna matayarisho ya base ya Kimarekani hapo Bagamoyo ambapo pamevuma kuwa waarabu watajenga bandari na aiport ila ukipita katika manispaa ya ilala na kuona document za sehemu hiyo ya bagamoyo kuna tetesi kuwa baadhi ya maandishi yanaonyesha mipaka ya base ya kijeshi ya kimarekani. Kama inzi wenu wanafanya kazi basi wapelekeni katika manispaa ili kuona mipangilio ya ramani ya sehemu hizo.waarabu wanatumikaau wanatumiliwa na rangi iliyopakwa ni kuwekeza kituo cha kibiashala.
 
Vasco da Gama, miguu inamwasha! Kila ya kheri, maybe ufanye kama Balali, usirudi!! kwikwikwi
 
Kuna matayarisho ya base ya Kimarekani hapo Bagamoyo ambapo pamevuma kuwa waarabu watajenga bandari na aiport ila ukipita katika manispaa ya ilala na kuona document za sehemu hiyo ya bagamoyo kuna tetesi kuwa baadhi ya maandishi yanaonyesha mipaka ya base ya kijeshi ya kimarekani. Kama inzi wenu wanafanya kazi basi wapelekeni katika manispaa ili kuona mipangilio ya ramani ya sehemu hizo.waarabu wanatumikaau wanatumiliwa na rangi iliyopakwa ni kuwekeza kituo cha kibiashala.

Mwiba,
Let's hope ni kituo cha biashara. Mwalimu alishasema ukiwaingiza Marekani nchini mwako hawaondoki. Angalia Iraq.
 
Mwiba,
Let's hope ni kituo cha biashara. Mwalimu alishasema ukiwaingiza Marekani nchini mwako hawaondoki. Angalia Iraq.
hayo waambieni CCM na kiongozi wao asie kwisha safari za Marekani ,naona kuna hatua akimaliza zi lazima aende akapeleke alipofikia na hali ya ndani ya Nchi,sasa sijui baada ya mazungumzo pale bungeni ndio anahisi kuna hatua fulani ameshaihitimisha ,labda ni ile ya kujitapa kwamba yeye ana nguvu ,masikini Kikwete anaanza kukufuru .
Na ndio hivyo kama maneno ya Nyerere aliyasema basi na Muungwana ayapime na viongozi waliofanya urafiki na marekani aone hatima yao .
 
kuna matayarisho ya base ya kimarekani hapo bagamoyo ambapo pamevuma kuwa waarabu watajenga bandari na aiport ila ukipita katika manispaa ya ilala na kuona document za sehemu hiyo ya bagamoyo kuna tetesi kuwa baadhi ya maandishi yanaonyesha mipaka ya base ya kijeshi ya kimarekani. Kama inzi wenu wanafanya kazi basi wapelekeni katika manispaa ili kuona mipangilio ya ramani ya sehemu hizo.waarabu wanatumikaau wanatumiliwa na rangi iliyopakwa ni kuwekeza kituo cha kibiashala.

majenerali waandamizi wa tanzania walishamuambia huyu ..bure kuwa hawataki base tanzania..yeye pia ameshawahi kuwa mwalimu wa siasa jeshini...so anajua sera yetu ya ulinzi....ukishakaribisha base ya marekani hapa nchi haitakaa iwe stable..marekani tabia mbaya siku wakitofautiana na sittin president watatumia base yao ku initiate choko choko....hatutakuwa na amani tena...siku tukiamua uranium yetu wanunue wa russia pia watataka kutukataza....hiii kitu haitufai!!!
 
Jasusi,
Kutakuwa na bash huko wakati JK yuko mjini maana nataka kuingia.. Nataka sana kuonana uso kwa uso na Muungwana na kama ikiwezekana namwangushia kitu cha Rev. Kishoka....

Yep,

Kama lipo naomba ratiba kamili ili nilete kundi langu zima na mchwa na nguchiro. Nimeshakosa kuhudhuria mabash mengi sana kwa sababu za taimingi; ningependa nisilikose hili nalo. Mimi nitampa vidonge vyake papo kwa papo bila kumficha au kujiependekeza. Nitatayarisha dossier lenye vielelezo na takwimu thabiti na kumtaka atoe maelezo ya kuonyesha amefanya nini na ni wapi anakopeleka taifa hili.
 
Kuna matayarisho ya base ya Kimarekani hapo Bagamoyo ambapo pamevuma kuwa waarabu watajenga bandari na aiport ila ukipita katika manispaa ya ilala na kuona document za sehemu hiyo ya bagamoyo kuna tetesi kuwa baadhi ya maandishi yanaonyesha mipaka ya base ya kijeshi ya kimarekani. Kama inzi wenu wanafanya kazi basi wapelekeni katika manispaa ili kuona mipangilio ya ramani ya sehemu hizo.waarabu wanatumikaau wanatumiliwa na rangi iliyopakwa ni kuwekeza kituo cha kibiashala.

hmmm!!!
Na zile tripu za balozi wa Marekani Pemba na lile manowari la USS Ashland mitaa ya Pemba tutaite?
Alafu kuhusu Airport ya Bagamoyo kuna tetesi kuwa wajenzi ni Wachina hii ya waarabu ni mpya.
 
Kamundu,
Mkuu unajua wakati mwingine tuwe tunajiuliza maswali mengine madogo madogo pamoja na kwamba yanaweza kutokana na kutokufahamu..
Hivi toka Kikwete aingie madarakani tumeshapata misaada mingapi na ni investment gani zimefanyika!..
Naomba list hata chache ya investments ambazo una hakika zimetokana na mikopo ya serikali yetu toka nje na hasa US..
 
Kuna dinner nadhani JK atapatikana huko. Just contact the org.

You are cordially invited to a Reception & Special Announcement with His Excellency Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania on the Letter of Commitment for the provision of a site in Tanzania for the establishment of the ICCF International Conservation College on Wednesday, August 27th from 5:00 - 6:00 pm in the Gold Room, (2168 Rayburn House Office Building) on Capitol Hill.

The International Conservation College will be established as a non-profit educational institution administered by the ICCF and will be the first "field college" of its kind. The college will be used to educate the world's political and business leaders on the vital links between good natural resource management and sustainable economic development, poverty alleviation, conflict avoidance, and regional security in the developing world.

RSVP to David Barron:
202.471.4222
hq@iccfoundation.us




The International Conservation Caucus Foundation (EIN #83-0449176)
is a 501(c)(3), tax exempt organization.
 
Back
Top Bottom