Premature Ejuculation and Erictile disfunction

Mhafidhina

JF-Expert Member
Feb 6, 2008
549
22
JF Doctor,

Naomba msaada wako...!

I have my ndugu ambaye girlfriend wake alimkataa kwa sababu eti "jogoo haliwiki vizuri" na hata likiwika basi ni dakika moja au mbili limelala. (erectile dysfunction)

Mbaya zaidi inapotokea kwamba linawika, huwa ni dakika moja au mbili basi huwa anakua kasha "piga bao" (premature ejuculation).

Hali hii ilimkasirisha sana girlfriend wake kwani anasema haridhiki au hatosheki na mapigo ya bwana mdogo kwani huwa anamaliza upesi mno kabla yeye hajafikia kileleni.

Sasa naomba unisaidie nimshauri afanyaje? Ni nini haswa chanzo cha erectile disfuntion and premature ejeculation?

Je kuna dawa mahususi ya kutibu erectile dysfunction and premature ejaculation? na kama zipo ni dawa gani haswa? naomba uzitaje

Naomba ushauri wako ili nimnusuru huyu bwana mdogo ambye kwasasa amekua kama mkiwa...!
 
jaribu kui-edit uifunge funge zaidi, samahani kwa hilo! dhoo wi dea tu tok openli but with matutaz...!
 
jaribu kui-edit uifunge funge zaidi, samahani kwa hilo! dhoo wi dea tu tok openli but with matutaz...!
lol withi matutazi......
Nasikia kuna yale madawa ya kuleta majiguvu....tukianza na supu ya pweza.......
 
watu tunatofautiana sana jamani. mimi mwenyewe nilitaka kuja kuandika hapa leo, matatizo yangu ni kwamba, nachelewa sana kumwaga, nachukua hadi nusu saa hadi dakika 45 wakati mwingine. tatizo ni pale ambapo, inafikia mamaa anasema ameshachoka, na mimi namwona kabisa amechoka na ile miguno ya mwanzo haipo tena. mimi niko bado crazy wakati huo. kibaya zaidi, ni kwamba, nikisha fika kileleni ktk hali ya mda mrefu kama huo, sina uwezo wa kupiga la pili. yaani hiyo ni kama many in one. yaani hadi kesho. sasa naombeni muunganishe na hili, hivi hili ni tatizo gani? au nina upungufu wa sperms? ni mbaya? sijapata malalamiko toka kwa my wife kuwa haridhiki, ila mimi wakati mwingine naona kama ananipunja anaposema ameshechoka wakati mimi bado. nilikuwa najua wanawake ndo wenye nguvu kuendelea zaidi kuliko sisi. hii ni true, wala sitanii, naombeni mnisaidie wajameni.
 
watu tunatofautiana sana jamani. mimi mwenyewe nilitaka kuja kuandika hapa leo, matatizo yangu ni kwamba, nachelewa sana kumwaga, nachukua hadi nusu saa hadi dakika 45 wakati mwingine. tatizo ni pale ambapo, inafikia mamaa anasema ameshachoka, na mimi namwona kabisa amechoka na ile miguno ya mwanzo haipo tena. mimi niko bado crazy wakati huo. kibaya zaidi, ni kwamba, nikisha fika kileleni ktk hali ya mda mrefu kama huo, sina uwezo wa kupiga la pili. yaani hiyo ni kama many in one. yaani hadi kesho. sasa naombeni muunganishe na hili, hivi hili ni tatizo gani? au nina upungufu wa sperms? ni mbaya? sijapata malalamiko toka kwa my wife kuwa haridhiki, ila mimi wakati mwingine naona kama ananipunja anaposema ameshechoka wakati mimi bado. nilikuwa najua wanawake ndo wenye nguvu kuendelea zaidi kuliko sisi. hii ni true, wala sitanii, naombeni mnisaidie wajameni.
leo maono yameshindikana? au hujabeba?PIGA MAHESABU au uchukue jembe uwe MWANAKIJIJI ila angali sana usiwe kama MTU WA PWANI ambaye hukaa tu akisubiri jioni.......!
 
leo Maono Yameshindikana? Au Hujabeba?piga Mahesabu Au Uchukue Jembe Uwe Mwanakijiji Ila Angali Sana Usiwe Kama mtu Wa Pwani ambaye Hukaa Tu Akisubiri Jioni.......!

Hapa Sijaelewa Unakusudia Mimi Au Una Maana Gani Hebu Weka Uchi Maelezo Yako Tufahamu Unakusudia Nn
 
JF Doctor,

Naomba msaada wako...!

I have my ndugu ambaye girlfriend wake alimkataa kwa sababu eti "jogoo haliwiki vizuri" na hata likiwika basi ni dakika moja au mbili limelala. (erectile dysfunction)

Mbaya zaidi inapotokea kwamba linawika, huwa ni dakika moja au mbili basi huwa anakua kasha "piga bao" (premature ejuculation).

Hali hii ilimkasirisha sana girlfriend wake kwani anasema haridhiki au hatosheki na mapigo ya bwana mdogo kwani huwa anamaliza upesi mno kabla yeye hajafikia kileleni.

Sasa naomba unisaidie nimshauri afanyaje? Ni nini haswa chanzo cha erectile disfuntion and premature ejeculation?

Je kuna dawa mahususi ya kutibu erectile dysfunction and premature ejaculation? na kama zipo ni dawa gani haswa? naomba uzitaje

Naomba ushauri wako ili nimnusuru huyu bwana mdogo ambye kwasasa amekua kama mkiwa...!

Nafikiri labda huyo mwanaume moja ya tatizo feelings zake haziko kwa bibie ndio mana hamu ya majambozz inapungua.
 
Mi nafikiri yote hayo ni matatizo ya kisaikolojia bin utayarisho wa maswala nyeti.

Kwa hiyo mheshimiwa wa kuchelewa kufika, I think, maandalizi ya mwenzio bado yana utata, as kama atakuandaa vema, lazima safari iwe moja.

The same applies kwa mzee wa kuwahi Chalinze wakati mwenzie ndio kwaaanza yuko Kimara. Mi nafikiri huyu anapaswa kui-set saikolojia yake. Asiwe anapania sana au kuconcentrate sana kwenye tukio. Anaweza akawa anajipa mawazo mengine pale anapohisi mambo yanataka kutoka. Ingawa ni ngumu, but akianza kujizoesha atafanikiwa. Mara nyingi hii husababishwa na aidha kuchelewa kuanza maswala ya chumbani au kufanya sana p**nye**to au namna tu saikolojia yake ilivyokaa.

So ushauri wangu kwanza, ni maandalizi na set up ya saikolojia za kila mmoja.

Ila na mimi niliwahi kuuliza swali kuhusiana na udogo wa sehemu nyeti za mwanamke. Na nilikuwa interested kujua, kuwa kama kuna tiba and if not what will happen pale anapotaka kujifungua..?? Kuna ndugu aliniomba ushauri about this kuwa demu wake ana sehemu ndogo kiasi hawezi hata kupitisha mambo yake, and it is really a problem to them. Kama kuna mwana JF ana ufahamu, ningependa kusikia ili tumsaidie ndugu yetu huyu.
 
JF Doctor,

Naomba msaada wako...!

I have my ndugu ambaye girlfriend wake alimkataa kwa sababu eti "jogoo haliwiki vizuri" na hata likiwika basi ni dakika moja au mbili limelala. (erectile dysfunction)

Mbaya zaidi inapotokea kwamba linawika, huwa ni dakika moja au mbili basi huwa anakua kasha "piga bao" (premature ejuculation).

Hali hii ilimkasirisha sana girlfriend wake kwani anasema haridhiki au hatosheki na mapigo ya bwana mdogo kwani huwa anamaliza upesi mno kabla yeye hajafikia kileleni.

Sasa naomba unisaidie nimshauri afanyaje? Ni nini haswa chanzo cha erectile disfuntion and premature ejeculation?

Je kuna dawa mahususi ya kutibu erectile dysfunction and premature ejaculation? na kama zipo ni dawa gani haswa? naomba uzitaje

Naomba ushauri wako ili nimnusuru huyu bwana mdogo ambye kwasasa amekua kama mkiwa...!

VIAGRA 'inaweza' kumsaidia... almuradi isiwe @made in India, na atumie kwa ushauri wa daktari!!!
 
watu tunatofautiana sana jamani. mimi mwenyewe nilitaka kuja kuandika hapa leo, matatizo yangu ni kwamba, nachelewa sana kumwaga, nachukua hadi nusu saa hadi dakika 45 wakati mwingine. tatizo ni pale ambapo, inafikia mamaa anasema ameshachoka, na mimi namwona kabisa amechoka na ile miguno ya mwanzo haipo tena. mimi niko bado crazy wakati huo. kibaya zaidi, ni kwamba, nikisha fika kileleni ktk hali ya mda mrefu kama huo, sina uwezo wa kupiga la pili. yaani hiyo ni kama many in one. yaani hadi kesho. sasa naombeni muunganishe na hili, hivi hili ni tatizo gani? au nina upungufu wa sperms? ni mbaya? sijapata malalamiko toka kwa my wife kuwa haridhiki, ila mimi wakati mwingine naona kama ananipunja anaposema ameshechoka wakati mimi bado. nilikuwa najua wanawake ndo wenye nguvu kuendelea zaidi kuliko sisi. hii ni true, wala sitanii, naombeni mnisaidie wajameni.

unakunywa Konyagi nini kabla ya...?... hakuna ubaya kuchukua muda, anapokwambia amechoka mpe muda apumzike, sio baiskeli hiyo!

... 'kipindi cha pili' unamalizia mpaka kileleni, hutakuwa na haja ya 'kupiga la pili'.
 
unakunywa Konyagi nini kabla ya...?... hakuna ubaya kuchukua muda, anapokwambia amechoka mpe muda apumzike, sio baiskeli hiyo!

... 'kipindi cha pili' unamalizia mpaka kileleni, hutakuwa na haja ya 'kupiga la pili'.

ahahahahahahahhaha, baiskeli oiyeeeeeeeeeee
 
kwa upande wa hali ya huyo wa kwanza ya kupiga bao kama jogoo, ni vyema atumie saikolojia ya kupoteza mawazo ya mapenzi, kwa kufanya yafuatayo

1. wakati una do, usimtazame huyo mpenzi wako ikiwezekana funga macho.
2. mweleze mwenzio asikate viuno wakati mnapoanza ku do, mpaka wewe utapokuwa umepoteza mawazo ya ku do kwake.
3. mweleze kuwa mtakata viuno kwa zamu ili wewe usifike kileleni kwa haraka

4. kama njia hizo umetunia ni bado basi hii ni njia ya mwisho na ni nzuri kwa kukusaidia kutofika kileleni mapema.
+chukua chupa ya kama lita moja ya maji, wakati anapo hisi kupoteza fahamu( Utamu unakaribia kileleni) anywe maji, huwa yanapoteza ufahamu wa mwili kuupeleka kweye woga wa maji
Akiweza kutimiza hilo kwa takribani mara kumi mfululizo atakuwa amepona kamisa.

na njia nyingine ni kuua sell zilizo zunguka kichwa cha mboo, kwa kupiga punyeto kwa kusugua sana kichwa cha mboo.

Kwa upande mwingine kuna rafiki yangu mmoja ana tatizo la kutoweza kusimamisha mboo yake ikawa ngumu vya kutosho na inamtokea wakati anapotaka kupiga bao la pili na hasa anapotunia kondomu, Je afanye nini kumaliza tatizo lake?
 
Last edited:
1. wakati una do, usimtazame huyo mpenzi wako ikiwezekana funga macho.
2. mweleze mwenzio asikate viuno wakati mnapoanza ku do, mpaka wewe utapokuwa umepoteza mawazo ya ku do kwake.
3. mweleze kuwa mtakata viuno kwa zamu ili wewe usifike kileleni kwa haraka

4. kama njia hizo umetunia ni bado basi hii ni njia ya mwisho na ni nzuri kwa kukusaidia kutofika kileleni mapema.
+chukua chupa ya kama lita moja ya maji, wakati anapo hisi kupoteza fahamu( Utamu unakaribia kileleni) anywe maji, huwa yanapoteza ufahamu wa mwili kuupeleka kweye woga wa maji
Akiweza kutimiza hilo kwa takribani mara kumi mfululizo atakuwa amepona kamisa.

...very interesting! ...ndio maana baadhi ya makabila yanaendeleza mambo ya jando na unyago!
 
...Kwa upande mwingine kuna rafiki yangu mmoja ana tatizo la kutoweza kusimamisha m*** yake ikawa ngumu vya kutosho na inamtokea wakati anapotaka kupiga bao la pili na hasa anapotunia kondomu, Je afanye nini kumaliza tatizo lake?

...sijui daktari atamshauri nini, ila mimi namshauri ajitahidi kuwa na stamina ya kucheza dakika 90, na ujuzi wa pasi na chenga nyingi kabla ya kufunga goli la kwanza, yote katika kujiepusha na hizo extra minutes na 'sudden death!'
 
Ila na mimi niliwahi kuuliza swali kuhusiana na udogo wa sehemu nyeti za mwanamke. Na nilikuwa interested kujua, kuwa kama kuna tiba and if not what will happen pale anapotaka kujifungua..?? Kuna ndugu aliniomba ushauri about this kuwa demu wake ana sehemu ndogo kiasi hawezi hata kupitisha mambo yake, and it is really a problem to them. Kama kuna mwana JF ana ufahamu, ningependa kusikia ili tumsaidie ndugu yetu huyu.

Wana JF sijajibiwa..!! Naomba majibu na kwenye hili pia..!!

Nitashukuru nikipata majibu.
 
Kishazi,
Ni kweli kuna wanawake wenye k*** ndogo kama wanaume walivyo na mb*** ndogo. Sasa inakuwa tatizo hasa pale demu anapokuwa na rafiki wa kiume ambaye ana mb** kubwa kupita kawaida. Kwa kawaida sehemu za siri hasa za wanawake hutanuka, ndio maana mwanamke anaweza kuzaa mtoto mwenye bichwa kuubwa hata ukashangaa amepitaje!!! Sasa basi, ili kuweza kuitanua k*** ya mwanamke juhudi za ziada tena kwa uvumilivu mkubwa zinahitajika. Kabla ya tendo lenyewe wacheze ili kufanya muccus ya mwanamke itoke kwa wingi na kulainisha shemeu zile, pia yatumike mafuta ya kulainisha i.e K-jelly yakutosha. Mwanamume aingize taratibu tena kidogo kidogo hadi apate penetration. Akifikia mahali anapata breakthrough asiache bali aendelee hadi apate full penetration. From there on atakuwa amemaliza kazi. Ikumbukwe pia kwamba wakati mwingine ni uoga tu wa mwanamke unaosababisha misuli ya k*** kukaza hadi wakadhani ana K*** ndogo kumbe ni ya kawaida. Kuna couple moja ilitaka kwenda kwa daktari eti wan matataizo ya kutoweza kupata penetration kumbe ni uoga wa mwanamke na maandalizi mabaya wakati wa tendio lenyewe. Mra nyingi uoga hutokana na labda ubakaji aliofanyiwa msichana akiwa mdogo ndio maana kumbukumbuku yake inamkumbusha huko na hivyo hatoi muccus kulainisha mambo

Upo hapo Kisahzi na wengineo?


Nasikia wengine hata hutumia njia ya kukaba mwanamke ... ukimbana huku anaachia kwengine
 
JF Doctor,

Mbaya zaidi inapotokea kwamba linawika, huwa ni dakika moja au mbili basi huwa anakua kasha "piga bao" (premature ejuculation). ...!


jamani eeh tuache kabisa zinaa ....haya ni matunda ya zinaa ... tukifanya hivyo tutakuwa wakamilifu na hatutokuwa na mapungufu kama hayo ... leo ni girlfriend umeshashindwa akiwa mke je si utafedheheka kila kukicha vikao ...

Otherwise .. chakula ni chako ... umeona kabisa kiko tayari kwaajili yako .. papara ya nini .. dont get over excited ... unakuwa kama mwizi .. vipi bwanaaaa... take your time ... if not get your partner to help you regulate your system .. maybe akiona unaanza kupoteza network .. she diverts your mind to something else .. hata mazungumzo .. unaweza hata ukaanza kujifunza tena maisabu upya ukaanza kuisabu moja mpaka kumi ..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom