Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,949
- 22,118
Kwa kweli labda niulize aliemodify hii jezi ni nani kabla sijaelekea husika
jamani mlioona hizi jezi mpya n masikitko matupu kwanza naanaza kwa vitambaa mlivyochagua yaani ni bomu ovyo kabisa pili nakuja kwe hawa wanaume mnawapa makoti ya kike maanake nini jamani
Yani CEO angekuwa mtanzania ningeanza kujiuliza mara mbilimbili kuwavalisha wanaume vile anataka nini kwao..nashukuru ni mstaarabu lakini akuonyehswa nyc jezi jamani..hivi sijui nisemeje nawapenda ndio maana napenda muonekane mnapendeza..watau wanaongea sana haya majezi ya yanga yametoka wapi..yaani YANGA ingeendelea mbele nachukua wafanyakazi 15 wa precision swaafii ushindi huo..jamani kwa wanaume mmeshindwa kuangalia na kala yaani rangi umnamvalishaje mtu rangi koti ya kkijani suruali ya kijivu kama wako mererani ama kiraracha kwa mrema wanavuna kahawa
Hapana kwa hili mh kioko ningependa uangalie upya kuna watu wanashindwa kusema kuogopa
aijalaishi zimetokea nairobi ama wapi....
jamani mlioona hizi jezi mpya n masikitko matupu kwanza naanaza kwa vitambaa mlivyochagua yaani ni bomu ovyo kabisa pili nakuja kwe hawa wanaume mnawapa makoti ya kike maanake nini jamani
Yani CEO angekuwa mtanzania ningeanza kujiuliza mara mbilimbili kuwavalisha wanaume vile anataka nini kwao..nashukuru ni mstaarabu lakini akuonyehswa nyc jezi jamani..hivi sijui nisemeje nawapenda ndio maana napenda muonekane mnapendeza..watau wanaongea sana haya majezi ya yanga yametoka wapi..yaani YANGA ingeendelea mbele nachukua wafanyakazi 15 wa precision swaafii ushindi huo..jamani kwa wanaume mmeshindwa kuangalia na kala yaani rangi umnamvalishaje mtu rangi koti ya kkijani suruali ya kijivu kama wako mererani ama kiraracha kwa mrema wanavuna kahawa
Hapana kwa hili mh kioko ningependa uangalie upya kuna watu wanashindwa kusema kuogopa
aijalaishi zimetokea nairobi ama wapi....