Ndege ya precision ilionza safari zake za south africa tarehe 24 mwezi uliopita inaonekana kurithi mtindo wa ATC wa kuhahirisha safari bila kujali mazara kwa wateja wao.Tangu jumamosi na jana abiria tumerundikana hapa or Tambo huku management yao ikiwa haina uhakika wakitoa sababu mbili tofauti kuwa jumamosi ndege ilishindwa kuondoka kwa tatizo la runway dar essalaam na jumapili ndege ilikuwa na itilafu.Jamani hata kama ni uzalendo tutafika kweli?