Precision Air Sasa Ni Kama Dala Dala?!. Ndege Yasubiri Abiria Uwanjani!.

@Pasco

Nimewahi kuchelewa ndege uwanja wa Heathrow Uingereza nikiwa na ujumbe fulani na tulikuwa kama abiria 10 hivi kwa pamoja na tulijichanganya baada ya safari ndefu toka Miami na kubadili ndege pale London kuja Dar. Ilibidi BA itusubiri kwa zaidi ya nusu saa huku abiria wote wakiwa wameshaingia katika ndege na tulipoingia tulikuta wazungu wamenuna hadi wamekuwa wekundu lakini hatukujali maana cha muhimu ndege ilitusubiri ingawa sisi weusi.

Sometimes kusubiri abiria huwa ni kawaida kwa ndege zinazojua umuhimu wa wateja wao, usishangae hilo la KIA na Precision. Hilo la kwako wewe, hawakukutendea haki hata kidogo, walipaswa kukupa ruksa ku-check in walikuwa na muda wa kutosha.

Pole kwa yaliokukuta bwana pasco lakini kusubiri abiria ni jambo la kawaida kabisa, niliwahi kusubiriwa kwa dakika 49 na ethiopia airline addis airport nikiwa na unganisha safari yangu toka dar kuelekea london nilipotelemka kwenye ndege yangu nilipelekwa moja kwa moja kwenye ndege ilionisubiri ambapo niliingia ikafungwa mlango nakuondoka abiria wengi hawakuamini kabisa aliekuwa anasubiriwa ni mimi mtu wa kawaida tena nikiwa katika casual wear, kwa hiyo kusubiriwa kwenye ndege hakumaanishi anesubiliwa ni mtu wa cheo fulani au anajulikana la hasha kuna vigezo airline inaweza kutumia kumsubiri abiria kadri wanavyoona inafaa
 
@Pasco

Nimewahi kuchelewa ndege uwanja wa Heathrow Uingereza nikiwa na ujumbe fulani na tulikuwa kama abiria 10 hivi kwa pamoja na tulijichanganya baada ya safari ndefu toka Miami na kubadili ndege pale London kuja Dar. Ilibidi BA itusubiri kwa zaidi ya nusu saa huku abiria wote wakiwa wameshaingia katika ndege na tulipoingia tulikuta wazungu wamenuna hadi wamekuwa wekundu lakini hatukujali maana cha muhimu ndege ilitusubiri ingawa sisi weusi.

Sometimes kusubiri abiria huwa ni kawaida kwa ndege zinazojua umuhimu wa wateja wao, usishangae hilo la KIA na Precision. Hilo la kwako wewe, hawakukutendea haki hata kidogo, walipaswa kukupa ruksa ku-check in walikuwa na muda wa kutosha.
Delegation yako ilikuwa kubwa watu 10! hata hivyo Precision wana uswahili, walishataka kunizingua Zanzibar baada ya kufika airport saa 12 jioni wakaniambia ndege imeharibika kwa hiyo nilale niondoke kesho yake, nilikataa nikawaambia nina shughuli za kufanya wanitafutie flight yoyote niondoke. Baada ya kubishana nao zaidi ya nusu saa wakaniruhusu kucheck in. Nimeingia nikakuta same flight, free sitting and the flight schedule was the same. Tangu siku hiyo siwaamini.
 
Ndugu, kama ni international flight alafu abiria uko uwanjani tayari. Ni lazima wakusubiri, hata kama ni masaa kumi. Hii ni kutokana na sheria mpya za usarishaji wa ndege.

Miaka ya 90's terrorists walikuwa wanaatumia hii mbinu kuterekeza mizigo yao. Walijichelewesha ili ndege iondoke. Ili wenyewe wasiPande hiyo ndege.(Especial kwa connection flights) . Mara nyingi waliweka explosive materials inside their bags.

Kutokana na hii NTSB wali_order. Ndege haipaswi kupaa, hata kama ni abiria mmoja hayupo ndani ya ndege. Ikiwa mzigo wake, uko tayari kwenye ndege. Hii inaitwa luggage clearance.

So ndugu, ndo maana waliwasubiri. Hata kama masaa kumi. Either mizigo yenu Wangeishusha, alafu wao wakasepa (though ni usumbufu mkubwa, bora kuwasubiri)

Kwa refference zaidi fatilia air crash investigation cases. Utakutana na hii case, ninayo kuambia.

NoTe: kwa sheria za kucheck_in, abiria unatakiwa uwe airport 2 hrs kabla ya safari. Watakusubiri kama umesha_check in, na uko uwanjani (especial kwa connection flights, hii ni kutokana na usalama). Otherwise, kama huja_check in hupaswi kusubiriwa. Na niko kuruhusiwa kucheck_in jus 30 min before ya safari
For international flights check begins 2 hours before take off, ends 30 mnts before Take. For local flights 1 hr and ends 15 minutes before take off. Pasco walimuonea, bora alikomaa kulinda haki yake
 
Never on earth, check the regulations of IIATA and it is specified that time is of utmost important since even the pilots are paid by the time they fly. However more assuring is that the air ticket is supposed to be durable for a year for an international flight, thus if you are late your ticket is still valid. Some flight they may charge u a small amount of money for the inconvenience caused. Otherwise, time for flying is time for flying since if you do not fly you may disturb others to land or take off.
Dada yangu alijichanganya pale Dubai katika connection kwenda india wakamsubiri zaidi ya twenty minutes. Flight delays kusubiri abiria ni normal.
 
For international flights check begins 2 hours before take off, ends 30 mnts before Take. For local flights 1 hr and ends 15 minutes before take off. Pasco walimuonea, bora alikomaa kulinda haki yake

international flights
economy class - 1hr before departing
business class - 15-30 mins before departing

source: narubongo
 
Halafu nauli zao bado ni kubwa sana na wanalipisha kwa dola ukifanya booking online hata kwa local flights. Kwa mfano nauli ya kutoka DAR kwenda Mwanza na kurudi ni USD 396.8, sawa na karibu Tshs. 635,000/= ni halali kweli hii kwa safari ya saa moja tu? Hii inakatisha tamaa watu kwa kweli.

Panda Ally's ni sh 50,000 tu kwenda mwanza, kwa hiyo kwenda na kurudi utalipa just 100,000. Nafikiri hii kwako itakuwa fair zaidi kwani ni safari ya masaa 14 kwa bei chee, au unaonaje?
 
Mie wanacho nichosha Precision Air upande wa chakula kutoka Dar es Salaam to Mwanza unapewa Coca Cola na kipande cha Cake.
 
Mtu mzima Pasco, asante kwa story.
Kiujumla katika usafiri wa ndege dunia nzima swala la precision limeshaondoka. Siku hizi ndege kuchelewa sio ishu na ukisafiri kwa ndege inabidi ujiandae kuwa kuna uwezekano wa delay ya mpaka saa moja. Kwa hiyo kama tatizo kubwa la precision ni delays basi sio big deal. Hata hivyo nimeshangazwa na kitendo cha ndege kuwa ana abiria wengi kuliko idadi ya viti, hilo sina maelezo yake!
 
international flights
economy class - 1hr before departing
business class - 15-30 mins before departing

source: narubongo

Only possible at JKIA which has only 3 international flights a day and the airport building is very small. In some airports the 15 minutes is what is required to walk from the waiting lounge to the aircraft
 
Kuchelewa dk 15 au zaidi kwa Precision siyo ajabu, imewahi kunikuta zaidi ya mara moja na inaweza kutokea mara nyingi kutokana na operational unforeseen reasons and even human mistakes. Kufunga check in kabla ya muda (dk 30) wanafanya hivyo mara nyingi ndege ikijaa, na nilwahi kuja juu wakanibadilishia flight kupitia NBI,ZNZ -DAR badala ya KIA -DAR straight.
Hii siyo kwao tu, hata KQ walituchelewesha zaidi ya saa 1 departure lounge na zaidi ya dk 15 onboard last week. Baadaye wakaja na mpya kwamba kuna tofauti kati ya records na actual number of boarded passengers.
Hata hivyo, Precision wanastahili pongezi kubwa kwa huduma wanayoitoa. Unapozungumzia usafiri wa ndege Tanzania unazungumzia precision!
 
Back
Top Bottom