Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,267
- 13,840
Naomba kujuzwa, kwenye App ya Flightradar24, ndege za Precision Air hazionekani wakati zinaruka kwenye anga la Tanzania, lakini zinapovuka mpaka na kuingia kwenye anga la Kenya zinaonekana. Ndege nyingine zinaonekana kokote. Kwa nini?