Nawasalimu wote!
Nina rafiki yangu amejifungua mara tatu pre-mature na kila anapojifungua mtoto hufariki muda mfupi, kwa kweli inasikitisha sana na inauma kiasi ambacho hakiwezi elezeka. Hivi hii husababishwa na nini? na Je kuna tiba jamani ebu naombeni ushauri ili tumsaidie mwenzetu.
Najua maombi pia yanahitajika sana, lakini pia utaalamu unahitajika.
Nina rafiki yangu amejifungua mara tatu pre-mature na kila anapojifungua mtoto hufariki muda mfupi, kwa kweli inasikitisha sana na inauma kiasi ambacho hakiwezi elezeka. Hivi hii husababishwa na nini? na Je kuna tiba jamani ebu naombeni ushauri ili tumsaidie mwenzetu.
Najua maombi pia yanahitajika sana, lakini pia utaalamu unahitajika.