Prayers Request: Teamo and his family

Teamo kumbuka kile kicha cha mtu alikuwa anatembea ufukweni mwa bahari na mungu na alikuwa anaona alama za nyayo zake na za mungu wake.... baada ya muda akaanza kuona myayo za moja tu... Kisha akamuuliza eeeh bwana mbona umenitupa wakati huu wa shida nami nakutumainia wewe.. Bwana akamjibu my Son hizi foot print unazoziona ni za kwangu kwani niliona unataabika sana kwa jua, kiu na safari ndefu nikaamua kukubeba ili tufike wote salama.


Teamo Mungu amewabwba wewe na familia yako hakika mtafika salama kwe uwezo wake..... Tupo nanyi kwa sala na maombi
 
probably the MOST difficult moments in my life..........!
i have never gone through these moments for real
 
probably the MOST difficult moments in my life..........!
i have never gone through these moments for real

Teamo hakika imani yako itakuponya amini kuwa Bwana yupo na wewe na atakuvusha katika hili kwama alivyo mvusha Luti na wengine wote
 
Teamo and family wishing you all the best, you have our prayers and support.
 
Updates wapenzi nini kimejiri huko Lugalo nina kiu ya kujua wife anaendeleaje?
 
@ Teamo, wishng you all the best,,,,Namtakia mshiki ajifungue salama bila makash kash...I know how it feels having being there..what we can offer now is our prayers and well wishes

Lakini Mungu ni mwema atamjaalia tu ajifungue salama. AMEN
 
mwacheni mungu aitwe mungu wajameni!

hawa wanawake hawa TUWAHESHIMU TU
 
Teamo all together bro....tupate kabinamu kadogo bila shari...
 
Friends ndani ya JF;

Nimepokea sms from Teamo kwamba mamsap wake amelazwa Lugalo hospital, wanategema mtoto anytime; the sms is a prayer request na nadhani we have lots of love and caring to each other na maombezi ni muhimu

Kwa wale tunaofuatilia jukwaa hili napia wana JF wengine Teamo alikuja na thread ya kuomba kupata jina la mtoto kwenye thread https://www.jamiiforums.com/mahusia...jina-zuri-la-a-babyboy.html?highlight=jina+la

yeye na mkewe walifunga ndoa mwaka huu na wengi wetu ndani ya JF tulishiriki kikamilifu kumsapoti kufaniksha ndoa hiyo

Tuungane kuombea familia na nina imani Teamo will come here to bring us the good news

Pamoja
Psalm 121
 
Teamo usijli huo ndo ukubwa wenyewe Mungu yuko pamoja nawe atakuongoza katika hili. Mungu ni mwema
 
WAKUU,
updates ni kwamba HAKIJAELEWEKA....!to me ni zaidi ya maumivu.....
when i see the process nzima i am getting confused
kwa sasa tunazungumzia masaa 15 ya mtu akiwa labour!

IT'S SO PAINFUL!

nimetoka kidogo nipo kwa mkoloni for now
 
Back
Top Bottom