TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,867
- 11,246
Friends ndani ya JF;
Nimepokea sms from Teamo kwamba mamsap wake amelazwa Lugalo hospital, wanategema mtoto anytime; the sms is a prayer request na nadhani we have lots of love and caring to each other na maombezi ni muhimu
Kwa wale tunaofuatilia jukwaa hili napia wana JF wengine Teamo alikuja na thread ya kuomba kupata jina la mtoto kwenye thread https://www.jamiiforums.com/mahusia...jina-zuri-la-a-babyboy.html?highlight=jina+la
yeye na mkewe walifunga ndoa mwaka huu na wengi wetu ndani ya JF tulishiriki kikamilifu kumsapoti kufaniksha ndoa hiyo
Tuungane kuombea familia na nina imani Teamo will come here to bring us the good news
Pamoja
Nimepokea sms from Teamo kwamba mamsap wake amelazwa Lugalo hospital, wanategema mtoto anytime; the sms is a prayer request na nadhani we have lots of love and caring to each other na maombezi ni muhimu
Kwa wale tunaofuatilia jukwaa hili napia wana JF wengine Teamo alikuja na thread ya kuomba kupata jina la mtoto kwenye thread https://www.jamiiforums.com/mahusia...jina-zuri-la-a-babyboy.html?highlight=jina+la
yeye na mkewe walifunga ndoa mwaka huu na wengi wetu ndani ya JF tulishiriki kikamilifu kumsapoti kufaniksha ndoa hiyo
Tuungane kuombea familia na nina imani Teamo will come here to bring us the good news
Pamoja