BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,002
Mtoto wa kitanzania aliepewa jina la obama kutokana na siku yake ya kuzaliwa kuendana \na siku ya kutangazwa ushindi wa obama
anaomba msaada wa yoyote mwenye uwezo wa kumsaidia aweze kusoma atashukuru sana sana
amekuwa akiishi naa babake na mama wa kambo lakini hivi sasa mamake huyo amekuwa akimtesa kiasi cha hata babake kuacha kumsaidia shuleni
kama utaguswa kusaidia ni pm uweze kubarikiwa
anaomba msaada wa yoyote mwenye uwezo wa kumsaidia aweze kusoma atashukuru sana sana
amekuwa akiishi naa babake na mama wa kambo lakini hivi sasa mamake huyo amekuwa akimtesa kiasi cha hata babake kuacha kumsaidia shuleni
kama utaguswa kusaidia ni pm uweze kubarikiwa