eddy25r
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 902
- 785
" tumpatie" .. wewe na nani!!!Hapa itabidi na coming election tumpatie Ruto nchi, maana ataikimbiza kwa uchumi na maendeleo.. Kalenjin ni watu wa speed always. Kusema na kutenda.
Kalenjin wako vizuri kuongoza, kama walivyo vizuri kwenye sports.