Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,428
- Thread starter
- #21
mkuu jd41 kuna mambo mengi ambayo yana changamoto nyingi na kubwa, ila ukweli ni kwamba hatuwezi kutatua mambo makubwa kabla ya kutatua mambo madogo kwanza
Kwa mfano kabla ya kwenda mbali sana, tujiulize tu kuwa sisi tuliopo jf kwa mfano, tunafanya nini, ili kutatua tatizo gani, wapi lini na kwa faida ya nani angalau kwa aina ya maoni tunayotoa tu?
unaweza kusema hilo ni jambo dogo sana, sawa; nakubali ni jambo dogo, lakini kama mtu anashindwa kuji behave kwenye jambo dogo, atawezaje kuji behave kwenye jambo kubwa? Kwa hiyo matatizo unayosema yapo ni kweli yapo, ila watu wanadai wanataka kutatua hayo makubwa wakati kuna vikitu vidogo vidogo tu ambavyo hawavifanyi na viko ndani ya uwezo wao na vina faida kwa mustakabali mzima wa siasa zetu.
Kwa mfano, mtu anaweza kuona kuna hoja nzuri, ambayo inasaidia kutatua tatizo Fulani (hata kama kwa asilimia ndogo) hachangii, akichangia anakuuliza mbona hunipi nafasi ya kuchangia, unamwambia haya changia, anakimbia, kesho yake unakuta analaumu hakuna demokrasia.
Kwa mfano kabla ya kwenda mbali sana, tujiulize tu kuwa sisi tuliopo jf kwa mfano, tunafanya nini, ili kutatua tatizo gani, wapi lini na kwa faida ya nani angalau kwa aina ya maoni tunayotoa tu?
unaweza kusema hilo ni jambo dogo sana, sawa; nakubali ni jambo dogo, lakini kama mtu anashindwa kuji behave kwenye jambo dogo, atawezaje kuji behave kwenye jambo kubwa? Kwa hiyo matatizo unayosema yapo ni kweli yapo, ila watu wanadai wanataka kutatua hayo makubwa wakati kuna vikitu vidogo vidogo tu ambavyo hawavifanyi na viko ndani ya uwezo wao na vina faida kwa mustakabali mzima wa siasa zetu.
Kwa mfano, mtu anaweza kuona kuna hoja nzuri, ambayo inasaidia kutatua tatizo Fulani (hata kama kwa asilimia ndogo) hachangii, akichangia anakuuliza mbona hunipi nafasi ya kuchangia, unamwambia haya changia, anakimbia, kesho yake unakuta analaumu hakuna demokrasia.