live on
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 784
- 1,260
Wakati wana tuhamasisha tujiunge katika hi scheme walitupa maneno mazuri sana na kitu kibwa walichokuwa wanatuambia ni kuwa siku yoyote utakapo amua kuchukua pesa zako utapewa bila ya usumbufu wowote laki sasa imekuwa kinyume chake
Miezi sita iliyopita nilienda pale nikasema nataka pesa zangu nikapewa form nikaijaza baada ya siku mbuli nikairudisha nikambiwa nikae siku 60 kama haitaingia pesa kwangu ndio niende
Zilipopita siku 60 nikaenda sikupata jibu la maana nikaka mwezi mmoja nikaenda tena wakaniambia ngoja wawasiliane na Dodoma maana makao makuu yamehamia huko nikasubiri mwezi mwingine nikaenda tena bado tu story ni zile zile
Nahisi kama nimepigwa hivi lakini najiuliza hivi kweli taasisi ya serikali inaweza kuwapiga changa la macho wananchi wake
Nikienda tena wakinizingua naenda kuwashitaki mahakamani
Miezi sita iliyopita nilienda pale nikasema nataka pesa zangu nikapewa form nikaijaza baada ya siku mbuli nikairudisha nikambiwa nikae siku 60 kama haitaingia pesa kwangu ndio niende
Zilipopita siku 60 nikaenda sikupata jibu la maana nikaka mwezi mmoja nikaenda tena wakaniambia ngoja wawasiliane na Dodoma maana makao makuu yamehamia huko nikasubiri mwezi mwingine nikaenda tena bado tu story ni zile zile
Nahisi kama nimepigwa hivi lakini najiuliza hivi kweli taasisi ya serikali inaweza kuwapiga changa la macho wananchi wake
Nikienda tena wakinizingua naenda kuwashitaki mahakamani