Miwatamu
JF-Expert Member
- Oct 2, 2012
- 1,450
- 487
PPF wametangaza nafasi mbalimbali za ajira tangu mwanzoni mwa mwezi huu na tyarehe ya mwisho wa maombi kama sikosei ni 16/6/2013.
Kubwa zaidi wameeleza kuwa maombi yote yatumwe kwa njia ya mtandao baada ya muombaji kuwa amejisajili katika mtandao wao. lakina hata baada ya kufanya hivyo pindi unapojaribu ku log in, unaambiwa kuwa password siyo!
Hii ndiyo nini sasa?
Kinachoonekana hapa ni kuwa wameweka tangazo hilo kama ushahidi tu huku tayari wakiwa na watu wao. Acheni hizo.
Kama nafasi ni kwa ajili ya watanzania wote kwa nini hizo application form hazifunguki?? Inamaana mmeziwekea ka-uzibe fulani.
Nasema tena acheni hizo kwani ajira ni kwa watanzania wote.
Pia naomba watanzania wote tusaidiane kukemea hili ikiwezekana litangazwe upya na kwa uwazi zaidi.
NAWASILISHA.
Kubwa zaidi wameeleza kuwa maombi yote yatumwe kwa njia ya mtandao baada ya muombaji kuwa amejisajili katika mtandao wao. lakina hata baada ya kufanya hivyo pindi unapojaribu ku log in, unaambiwa kuwa password siyo!
Hii ndiyo nini sasa?
Kinachoonekana hapa ni kuwa wameweka tangazo hilo kama ushahidi tu huku tayari wakiwa na watu wao. Acheni hizo.
Kama nafasi ni kwa ajili ya watanzania wote kwa nini hizo application form hazifunguki?? Inamaana mmeziwekea ka-uzibe fulani.
Nasema tena acheni hizo kwani ajira ni kwa watanzania wote.
Pia naomba watanzania wote tusaidiane kukemea hili ikiwezekana litangazwe upya na kwa uwazi zaidi.
NAWASILISHA.