Pozi za Wambeya

Pastor Achachanda

JF-Expert Member
May 4, 2012
3,022
1,305
c63763dc743ec67ed7c86b0ff3e5caf8.jpg
 
Niliishatabiri kuwa miaka 5 itapita huyu msaniii namba moja magu hatakanyaga Mbeya kwa sababu hawamtaki kabisa kwa usanii wake tangu akiwa naibu na waziri kamili na kwa jinsi wanambeya wlivomzomea mpaka akaamua kusema "Peoples"watu wakaitikia "Power" ndipo akaruhusiwa kuendelea na safari yake
 
Sehemu zenye wasomi xxm hawawezi kutoboa ndo maana wanakazana kusema ccm ipo mpaka vijijini kwani muda ukifika wanawanunulia wanakijiji Pombe za kienyeii na pilau huku wakiwapa t-shirt za ccm kila baada ya miaka 5...?
SHAME ON U ccm??!!
 
Back
Top Bottom