Power Mabula: Mtu aliyetikisa enzi zake!

Hahaha, enzi zile akija mwanamazingaombwe shule, kuna mshashi mmoja alikuwa akiingia na ndimu.

Mfanya mazingaombwe akianza kufanya ma abracadabra yake basi mchizi anaminya ndimu, mazingaombwe yanashindwa.

Siku moja akashtukiwa, akatolewa.

Lakini most probably ilikuwa part ya show tu, kutuchota. I can't see ndimu inawezaje kuzuia chochote. Na zaidi ya yote mazingaombwe yenyewe yalikuwa illusions tu.
 
injili imemkomboa na hueleza siri za aliyokuwa akiyafanya kwenye shuhuda zake!
 
kuna mwingine anaitwa masiamote sijui naye yupo wapi cku hizi
 
yap Power Mabula kipindi hicho akija shuleni kiingilio shilingi hamsini..
unatetemeka kweli kabla hata hajaanza kuonyesha mazingaubwe yake...
That guy was genius .. I'm not too sure if he's still alive tho....
afrodenzi, kumbe umekula chumvi eh..........................!
 
Last edited by a moderator:
aisee, power mabula alikuwa maarufu sana hasa Mwanza

kulikuwa na vimbwanga lakini, mara power mara mazingaombwe mara mieleka mara 'monde' wa indemoniiiiiiii

NOTE: indemoni ni vile vikatuni vilivyokuwa vinachezeshwa
 
Kababayeye na Mwanakuliya nao wako wapi?

Na kababa ninyanyue nyanyu....nyanyua na kababa naumia nau....umia...
Du wakongwe mmenikumbusha mbali sana back to 1990-1989-1991 huko!
Kitu power Bula..power Bula...jamaa walikuwa wanalamba sana shilingi thelathini zetu!its nice memory though!
 
Power Mabula nilikutana naye Arusha wakati wa Cadet training,yeye pia alikuwa cadet. Alikuwa hafanyi mazingaombwe,alikuwa strongman,anashikilia gari mbili,kushoto na kulia zisiondoke,mambo yote haya anafanya katika stadium iliyojaa watu,na kufanya mambo kama hayo. Lakini aliniambia ameumia katika practice[kwa ajili msadizi wake hakufuata directions vizuri],na labda hatafanya shows tena,I don't know what happenned afterwards,alikwenda vitani,vita ya Kagera.
Haikuwa mazingaombwe. A few weeks ago nilimwona mwanake katika ITV anaizuia pikipiki kwa meno yake, kwa MENO. Kwa hiyo haya mambo ya power siyo mambo ya ajabu sana.
 
yap Power Mabula kipindi hicho akija shuleni kiingilio shilingi hamsini..
unatetemeka kweli kabla hata hajaanza kuonyesha mazingaubwe yake...
That guy was genius .. I'm not too sure if he's still alive tho....
Yaani sina cha kuongeza bali wimbo tulioimba wakati ule nao ni "POWER!!!!!!!!! MABULA!!!!!!!!! SUPER!!!!!!!!!! KIBONGE!!!!!!!!"
 
na mimi ilikuwa niulize the same thing nakumbuka alikuwa anakuja sana kwetu katesh
 
pawa mangwana sa hivi anatangaza kiss fm kipindi kinaitwa dunia duara na usiku vile vipind vya salam za kukesha,hop ni huyo nilimsikiliza rfa kipind cha sitasahau na aliongelea hayo matukio ya mazingaombwe mnayozungumza
 
Inasemekana alikuwa natumia sana uchawi na aklikuwa akitoa uchawi sehemu moja inaitwa SONGE ipo wilaya mpya ya KIlindi , na kwa sasa ameokoka na anaishi hukohuko alipokuwa antoa uchawi na amejenga kanisa lake.
 
Back
Top Bottom