N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,532
Habari za biashara bora muache anaesoma azisome tu maana sasa hivi mnavyomhoji hata haileti mtiririko wenye mantiki...pamoja na hayo mnaemhoji anasoma tu ili kutoa maelezo ya swali badala ya kuwa knowledgeable kuhusu hiyo issue, of which ni wajibu wa mchambuzi wa uchumi...
pamoja na hayo kwa hadhi yenu Clouds FM hamfai kukosa info muhimu kama taarifa za masoko kv ya nafaka,mifugo nk habari zenu za biashara ziko shallower kwa business people kuzi consume na hata mkulima au mfanyabiashara mdogo na wa kati....
Habari za biashara zinafaa zitoe taarifa ya soko na mwenendo wa soko likiwemo solo la hisa la taifa na sio malalamiko pekee ya wafanyabiashara daily.
Clouds jifunzeni kwenye media za Kenya hapo muone namna habari zao za biashara zilivyo descriptive.
Ushauri huwa unachukuliwa au kupotezewa,it's up to you.
Sent using Jamii Forums mobile app
pamoja na hayo kwa hadhi yenu Clouds FM hamfai kukosa info muhimu kama taarifa za masoko kv ya nafaka,mifugo nk habari zenu za biashara ziko shallower kwa business people kuzi consume na hata mkulima au mfanyabiashara mdogo na wa kati....
Habari za biashara zinafaa zitoe taarifa ya soko na mwenendo wa soko likiwemo solo la hisa la taifa na sio malalamiko pekee ya wafanyabiashara daily.
Clouds jifunzeni kwenye media za Kenya hapo muone namna habari zao za biashara zilivyo descriptive.
Ushauri huwa unachukuliwa au kupotezewa,it's up to you.
Sent using Jamii Forums mobile app