much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 7,501
- 10,261
Wala sitaki sifa angalia hata comment zangu nyingine nlikuoba unakosea uposema bidhaa zotesiwezi kukosea naongea nlicho fanyia utafiti acheni unafiki wa kutaka sifa ambazo hazipo, tanzania siasa nyingi kuliko maendeleo na kibaya zaid tuna uongozi wa hovyo kabisa unao jali siasa kuliko maendeleo.
Haya weka basi uo utafiti ulioufanya na uliufanyaje. Tuone