Ndugu mimi nimeziona Arusha so kama upo arusha utazipataHongera zao.
Zinapatkana wapi?
kweliMkuu hapa kwetu si unajua tena! Viwanda vinajegwa kwa kusweka wapinzani ndani, kununua wapinzani au hata "kuwaakwilinalize". Sasa ngoja kwanza tumalize upinzani halaf vikwazo vitakuwa vimeondoka na viwanda vitaibuka! Ha ha ha! What a dream!
Liko wapi tusi alilotukana?Nachukia sana mtu anayeibeza nchi yangu. Unaitukana nchi ambayo na wewe umo inamaana unajitukana na wewe hukohuko. So anayeweza kutukana kivuli chake mwenyewe ni kichaa tu. So na huyu naye ni kichaa
Acha unafiki weweNachukia sana mtu anayeibeza nchi yangu. Unaitukana nchi ambayo na wewe umo inamaana unajitukana na wewe hukohuko. So anayeweza kutukana kivuli chake mwenyewe ni kichaa tu. So na huyu naye ni kichaa
katukana wapi wewMnafiki ni wewe unayetukana nchi yako
uganda wako vizuri nlinunua tairi yao aisee ina ubora wa hali ya juu, tanzania siasa nyingi sana tena siasa za kipumbavu kabisa pesa nying inapotelea kwenye siasa tena.za.kipuuziA 88000mAH Power Bank Made In Uganda, Nilikua Sina Shida Ya Power Bank Lakini Nimenunua Ili Kuwaunga Mkono Majirani...Hivi Sasa Ndio Viwanda Sio Sisi Bla Bla Bla
View attachment 704543
View attachment 704544
Ujinga Wa Ujanani Ndio Umaskini Wa Uzeeni
mr mkiki.
wee nawe ni kilaza wa hali ya juu kabisa maana umekalilishwa maneno, na umeyakalili inawezekana vipi watu wawe hawafanyi kazi waka kulalamika? au we mwenzetu neno kazi unalielewaje?Watu hamfanyi kazi mnakaa kulalamika tu kila kukicha unafikiri maendeleo anayaleta magufuli peke yake?, nyie wananchi msipotaka kufanya kazi, kujituma maendeleo hayawezi kuja menyewe
Mkuu hizo stress zako kaa nazo mwenyewe, sasa kosa la mtoa mada ni lipi? Inamaana hata asiwasifie majirani zetu kwa kazi nzuri waliofanya eti anatukana nchi yake?Watu hamfanyi kazi mnakaa kulalamika tu kila kukicha unafikiri maendeleo anayaleta magufuli peke yake?, nyie wananchi msipotaka kufanya kazi, kujituma maendeleo hayawezi kuja menyewe
Ni kweli ,ccm wameweka siasa mbele kama ndio maendeleo....Yani ni mazuzu sana ccmuganda wako vizuri nlinunua tairi yao aisee ina ubora wa hali ya juu, tanzania siasa nyingi sana tena siasa za kipumbavu kabisa pesa nying inapotelea kwenye siasa tena.za.kipuuzi
bidhaa za tanzania hazina ubora kabisaaaaa sababu mamlaka za viwango wala rushwa wakubwa, pakage za hovyo, ujazo wa hovyo, ubora wa.hovyo yaani kila kitu tanzania.hovyo kabisaMim mwenyewe siwez kuvaa bidhaa ya Tanzania hadi ccm iondoke madarakani