bluetooth23
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 348
- 324
Jaman nilikuwa na ziara ya kikazi mkoa wa manyara, nimezunguka Mbulu, Haydom, Babati, Karatu na vijiji vingne kama dongobesh, bashay, labay, mto wa mbu, masqaroda, dareda, magugu, bashnet, tumati, yaeda chini, endasaki na vingine nimekutana na waschana wa kiirak (wambulu) jaman hawa watoto ni wazur sana dah.. Yan nimewakuta mjini na vijijini, hawa wa mjini hata kama wamefanya mekup bt lakn uzur wa asili upo pale pale, na wale wa vijijini nimewakuta porini wanachunga ng'ombe wamevaa mashuka (migorori) na viatu vilivyotengenezwa kwa matairi ya gari ila dah wakali ile mbaya yan nywele mpaka mgongoni. Wanafanana sana na wajukuu wa mtume kule mashariki ya kati. Ckuwaacha hv hv niliwapgisha gwaride waschana kadhaa dah wakivua nguo jaman unaweza kuziacha tembocard, mastercard na zngne. Hivi hawa watoto asili ya uzur wao umetoka wapi?