MANAKE MKARI
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 281
- 211
Wakuu naomba msaada kwa anayejua majina ya walioomba postgraduate diploma chuo cha ustawi wa jamii yatatoka lini. Nimejaribu kutembelea website yao ili angalau nipate namba ya simu lakini naona iko suspended.