Wadau
Nimekuja humu ndani ili nipate uelewa kutoka Posta Tanzania, na wana jamiiforums. Nimejaribu kuwasiliana na Posta Tanzania kwa njia rasmi zaidi ya wiki moja sasa, hawanijibu, huwenda huku wakajibu.
Nina nyaraka nimetuma zaidi ya mwezi sasa kwa EMS, hadi leo ukiingia kwenye mfumo, nyaraka inaonekana imesajiliwa kwenye Posta niliyotuma, baada ya hapo hakuna maelezo zaidi ya mfumo kusema "Please Wait".
Umbali kutoka Makuu ya Mkoa nilipotuma hadi Makao Makuu ya Mkoa inapoenda ni chini ya km 300.
Screenshot inaonyesha.
Nimekuja humu ndani ili nipate uelewa kutoka Posta Tanzania, na wana jamiiforums. Nimejaribu kuwasiliana na Posta Tanzania kwa njia rasmi zaidi ya wiki moja sasa, hawanijibu, huwenda huku wakajibu.
Nina nyaraka nimetuma zaidi ya mwezi sasa kwa EMS, hadi leo ukiingia kwenye mfumo, nyaraka inaonekana imesajiliwa kwenye Posta niliyotuma, baada ya hapo hakuna maelezo zaidi ya mfumo kusema "Please Wait".
Umbali kutoka Makuu ya Mkoa nilipotuma hadi Makao Makuu ya Mkoa inapoenda ni chini ya km 300.
Screenshot inaonyesha.